Wakazi wa Kijiji cha Ruhokwe, kilichopo katika Kata ya Mnolela, Halmashauri ya Mtama – Lindi, wameiomba serikali kukamilisha ujenzi wa zahanati ili kuondokana na changamoto za upatikanaji wa huduma za afya ambazo wamekuwa wakipitia kwa muda mrefu.

#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *