“Mkuu wetu wa mkoa ameunda kamati, ambayo anayeratibu ni Katibu Tawala, wanaendelea kufuatilia kwa kila taasisi namna ilivyotekeleza maazimio ya mkoa, kwa hiyo kamati ipo ya kuratibu kuhakikisha hili jambo la foleni linaisha” -Mhandisi Geofrey Mkinga-Meneja TARURA mkoa wa DSM
Powered by #MCHEZOSUPA
JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA:
-
Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M – Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV.
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania
Follow @itvtz @radioonetanzania
(Feed generated with FetchRSS)