Kaya 49 za wakazi wa Mnazi Mmoja na Mbanja mkoani Lindi zimepokea malipo ya Shilingi Milioni 510 ikiwa ni fidia kwa wananchi hao waliopisha upanuzi wa chanzo cha maji.

�Malipo hayo yanatazamwa kama ukombozi kwa kaya hizo ambazo zilisubiri haki yao kwa muda mrefu ili kuendelea na shughuli za maendeleo.

Omary Mikoma amefuatilia tukio hilo na kutuandalia ripoti ifuatayo.���

Mhariri @moseskwindi
#AzamTVUpdates

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *