Unaweza kuziita ndizi mzuzu au ndizi mkono wa tembo lakini kwa wakazi wa mji mdogo wa Kyaka ulioko wilaya ya Missenyi mkoani Kagera ndizi hizi zinaitwa ‘gonja’ na wenyeji wa eneo hilo wanazipenda zinapoandaliwa kwa kuchomwa.��

Benson Eustace amefuatilia umaarufu wa ndizi hizo.��

Mhariri @moseskwindi
#AzamTVUpdates

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *