[ad_1]

.

Chanzo cha picha, BBC Sport

Ninahisi kama najirudia kila ninapozungumzia matatizo ya Manchester United lakini mambo yale yale yanaendelea kutokea.

Wanafanya makosa yale yale, na hata si vigumu kuzuia.

Nimetazama kila dakika ya mechi nne za Ligi Kuu ya Uingereza msimu huu na bila shaka kuna maeneo ya maboresho, ambayo inaonekana kuwa jambo la kushangaza kusema baada ya kupoteza mchezo wa 3-0.

Nimeangazia masuala ya mfumo wa Ruben Amorim wa 3-4-2-1 tangu alipoanza kuinoa Old Trafford msimu uliopita, na mimi si shabiki wa sura hiyo, lakini wameufanyia kazi na unaweza kuona.

[ad_2]

Source link

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *