Wahenga walimaanisha nini waliposema: 👉 “Mgaagaa na upwa hali wali mkavu”
🤔 Mgaagaa ni nani?
🌊 Upwa ni nini?
Je, methali hii inafundisha nini kuhusu maisha, jamii ya leo?
Tuandikie tafsiri yako 👇💬
#AzamTVUpdates
✍John Mbalamwezi