VIWANJANI: “Young Africans kwenye hilo wamefanikiwa”
Mchambuzi wa soka @rashidy_hamis amesifu maoni ya Rais wa Yanga SC, Hersi Said kwa namna uongozi wake unavyosaidia kukuza chapa ya timu hiyo ndani na nje ya Tanzania.

Jana Jumatatu Yanga walimtangaza mshindi wa tenda ambaye watashirikiana naye katika ujenzi wa uwanja wao.

(Imeandikwa na @allymufti_tz)

#NBCPL #NBCPremierLeague

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *