Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji Hamisa Kalombola ameliagiza Baraza la Wafanyakazi la Tume hiyo kufanya majadiliano ya kina kuhusu Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2026/2027, akisisitiza kuwa ni fursa muhimu ya kubainisha vipaumbele, matumizi ya rasilimali na mikakati ya kuboresha utendaji wa Tume

Mhariri | John Mbalamwezi

#azamtvupdates

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *