Kufuatia eneo la Kaskazini mwa Kenya kukumbwa na matukio ya mara kwa mara ya wizi wa mifugo, wanafunzi wa eneo hilo wamebuni mfumo wa kiusalama wa kusaidia kulinda mifugo yao dhidi ya wizi. Hii inatoa taswira ya namna kizazi kipya cha jamii ya wafugaji kinavyochangia ubunifu wa teknolojia katika jamii zao.