Grace Patricia Kabogo / Ali Mali6 Februari 2026

Rais Paul Kagame amewarai wananchi wake kujiandaa kujitegemea zaidi kufuatia shinikizo linaloongezeka la vikwazo zaidi vya Marekani kutokana na kuhusika kwake katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo.

https://p.dw.com/p/58CrY

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *