#HABARI: “Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amekuwa akisumbuliwa na maradhi ya mgogongo na moyo, kwa muda mrefu, ametibiwa hapa nchini na nchi nyingine ikiwemo Ujerumani, India na Marekani…” – Askofu Henry Mchamungu ambaye ni Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Dar es Salaam.