Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kasi ya kuenea kwa ugonjwa wa Ebola Mashariki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo huku watu zaidi ya 130 wakithibitishwa kufariki dunia.
Taarifa ifuatayo ina maelezo ya kina.
Mhariri @moseskwindi
(Feed generated with FetchRSS)
