VIWANJANI: Mtangazaji wa soka @hassanahmedy_ adai ‘kutekwa’ na simulizi za mchambuzi wa soka @iddynonga_ kuhusu uhondo wa tamthilia kupitia #AzamTWO na #SinemaZetu.
Hassan anasema kwa sasa akiwa nyumbani kwake, ni mwendo wa kubadili chaneli tu na sasa amekuwa na uraibu wa kutazama tamthilia.
(Imeandakwa na @allymufti_tz)
#Viwanjani
(Feed generated with FetchRSS)