Kipande cha takribani urefu wa mita 500 cha barabara ya Magoti – Kabale katika barabara kuu ya Bukoba – Biharamulo mkoani Kagera kimeendelea kuwaliza watumiaji wa barabara hiyo kutokana na ubovu wake.

Benson Eustace amezungumza na watumiaji hao.

Mhariri @moseskwindi
#AzamTVUpdates

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *