Mchumi, Wakala wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (PBPA ) Bi. Amina Nkinga akifafanua jambo kwa Afisa Habari kutoka Wizara ya Habari ,Utamaduni, Sanaa na Michezo, Shaminu Nyaki aliyetembelea banda la PBPA kwenye Maonesho ya Sabasaba 2026.

(Feed generated with FetchRSS)