[ad_1]
Afrika Kusini imesisitiza msimamo wake kwamba mkutano ujao wa nchi zilizostawi kiuchumi za G20, utakaofanyika Johannesburg mwezi Novemba, utaendelea kama ulivyopangwa; awepo au asiwepo Rais Donald Trump wa Marekani.
[ad_2]
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
Mkutano wa G20 nchini Afrika Kusini kuendelea hata kama Trump hatohudhuria