Nottingham watawasubiri Chelsea katika uwanja wao wa City Ground., huku Crystal Palace wakiwa wenyeji wa Bournemouth.

Jumapili waliyo katika nafasi ya pili kwenye jedwali la Ligi Kuu ya England na alama 15 Liverpool watavaana na Manchester United katika uwanja wa Anfield.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *