Mgombea Urais wa Chama cha Wakulima (AAFP) Kunje Ngombale Mwiru ameahidi kuunufaisha mkoa wa Mara kupitia usimamizi mzuri wa rasilimali za mkoa huo kama anavyoeleza Augustine Mgendi.
#AzamTVUpdates
Mhariri | @moseskwindi
Mgombea Urais wa Chama cha Wakulima (AAFP) Kunje Ngombale Mwiru ameahidi kuunufaisha mkoa wa Mara kupitia usimamizi mzuri wa rasilimali za mkoa huo kama anavyoeleza Augustine Mgendi.
#AzamTVUpdates
Mhariri | @moseskwindi