11.11.202511 Novemba 2025 Rais Donald Trump amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa mpito wa Syria Ahmad al-Sharaa+++Hali nchini Sudan inaendelea kuwa mbaya, maelfu ya watu wanadaiwa kuuawa kutokana na mashambulizi ya wanamgambo wa RSF. https://p.dw.com/p/53PKB Post navigation AU yatoa wito wa hatua za haraka kuchukuliwa Mali 11.11.2025