Baadhi ya watoto wenye mahitaji maalum mkoani Iringa wanaendelea kukabiliana na mazingira magumu ya kutelekezwa katika vituo vya malezi, hali inayoongeza majeraha ya kisaikolojia na kuzidisha changamoto zao za ukuaji.

#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *