Mwanaharakati maarufu katika mitandao ya kijamii, Mange Kimambi, anayeishi Marekani, ameshitakiwa kwa kuharibu uchumi nchini Tanzania.

Miongoni mwa mashitaka anayokabiliwa nayo ni utakatishaji wa fedha.

Kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini Tanzania, shauri hilo limepangwa kusikilizwa tarehe 4 Disemba, mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam. Aidha, kesi hiyo iliwasilishwa dhidi ya Kimambi tarehe 28 Agosti, 2025.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *