Kutoka Kanda ya Ziwa hadi Kaskazini mwa Tanzania signal zimesoma kusini hadi Kigoma jirani na majirani wa nje.

Satellite za makachero wa Sentro zimeshapangwa, chaneli zipo kwenye mstari wa kufunguka, kuanzia Januari hadi Desemba, harakati zimekuwa nzito misele na mitikasi vimetawala, utafutaji umenyooka, hakuna gozi gozi.

Karibuni kitivoni kuanzia saa 1:30 Tuzitazame chaneli za utafutaji kama zimefunguka…
na kama bado, tuzifungue pamoja live!

#SentroCloudsTv
#Clouds26Nyooshaa..!!

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *