Eritrea yataka Baraza la Usalama la UN itoe tamko juu ya kutambuliwa kwa Somaliland na Israel

Eritrea imetaka kutolewa kwa tamko kutoka kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa juu ya kutambuliwa kwa Somaliland na Israel, ikionya kwamba hatua hiyo inaweza kuchochea ukosefu wa usalama kikanda na kimataifa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *