Marekani yasitisha msaada kwa serikali ya Somalia kufuatia madai ya wizi wa misaada ya chakula
Serikali ya Trump imeishutumu serikali ya Somalia kwa kuharibu ghala la shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) lililokuwa na misaada ya chakula iliyofadhiliwa na Marekani.