[ad_1]
Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameeleza kuwa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) umeridhishwa kikamilifu na vipengee vya makubaliano yaliyofikiwa karibuni kati ya wakala huo na Jamhuri ya Kiislamu.
[ad_2]
BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
Araqchi: IAEA ‘imeridhishwa kikamilifu’ na makubaliano ya ushirikiano