Hamas yatoa wito wa msimamo wa pamoja wa Kiislamu dhidi ya Israel katika Mkutano wa DohaHamas yatoa wito wa msimamo wa pamoja wa Kiislamu dhidi ya Israel katika Mkutano wa Doha

[ad_1]

Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina,, Hamas, imelaani vikali shambulio la hivi karibuni la Israel dhidi ya Qatar, ikilitaja kuwa ni tendo la “ waoga,” na kutoa wito kwa mataifa ya Kiarabu na Kiislamu kuchukua msimamo wa pamoja dhidi ya hujuma za utawala huo wa kibeberu.

[ad_2]

BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *