[ad_1]

.

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Nuno Espirito

West Ham wanaweza kumnunua Nuno Espirito Santo iwapo watamtimua Graham Potter, Arsenal miongoni mwa timu zinazomtaka Luiz Gustavo Benedetti na Manchester United inaonyesha nia ya kumnunua Elliot Anderson.

West Ham wanafikiria kumnunua Nuno Espirito Santo iwapo watamtimua meneja Graham Potter. (Alan Nixon)

Arsenal, Barcelona na Napoli wanavutiwa na beki wa kati wa Palmeiras mwenye umri wa miaka 19 Mbrazil Luiz Gustavo Benedetti. (Mundo Deportivo – In Spanish)

.

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Luis Gustavo Benedetti

Manchester United wanavutiwa na kiungo wa kati wa Nottingham Forest Elliot Anderson mwenye thamani ya pauni milioni 70, lakini mchezaji huyo wa kimataifa wa Uingereza, 22, ana furaha katika Uwanja wa City Ground na hana mpango wa kuondoka. (Football Insider)

[ad_2]

Source link

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *