đź”´KUMEKUCHA: ……AGOSTI 23, 2025 -UMUHIMU WA STADI ZA MAISHA
đź”´KUMEKUCHA: ……AGOSTI 23, 2025 -UMUHIMU WA STADI ZA MAISHA
đź”´KUMEKUCHA: ……AGOSTI 23, 2025 -UMUHIMU WA STADI ZA MAISHA
đź”´MAGAZETI, AGOSTI 23, 2025 -MBIVU, MBICHI CCM WALIOPENYA, KUACHWA UBUNGE KUJULIKANA
#SWALILAKIPIMAJOTO: Wanaowauzia waraibu dawa tiba zenye kibali maalum kama mbadala wa dawa za kulevya. Je, waadhibiwe kama wahalifu wengine wa biashara hiyo?
23.08.202523 Agosti 2025 Watu 24 wauawa Gaza huku baa la njaa likihofiwa kuutanua zaidi mzozo wa kibinadamu. Rais wa Ukraine Volodymir Zelensky ameyataka mataifa ya Africa, Asia, Latin America, na…
23.08.202523 Agosti 2025 Shirika la tathimini ya chakula duniani IPC yatangaza uwepo wa baa la njaa Gaza. Waendesha mashitaka wa Kongo wataka Joseph Kabila ahukumiwe kifo kwa makosa ya uhaini.…
Taarifa hiyo imekuja baada ya mazungumzo ya simu kati yake na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, wakishirikiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza, David…
Zelensky pia ametoa wito kwa washirika wa Ukraine kuiwekea Urusi vikwazo vipya kama haitoonesha dhamira ya kweli ya kusitisha uvamizi wake Ukraine. Rais huyo wa Ukraine aliyekuwa akizungumza katika mkutano…
Hii ni baada ya ripoti ya tathmini ya Usalama wa upatikanaji wa Chakula, IPC, kutangaza baa la njaa katika ukanda huo. Radovan amesema ripoti hiyo inayoungwa mkono na Umoja wa…
Wanadiplomasia wa Iran wanatarajiwa kukutana na wenzao wa Uingereza, Ufaransa na Ujerumani kwamazungumzo ya mpango wa nyuklia wa Tehran, wakati mataifa hayo yakizingatia kurejesha vikwazo dhidi ya nchi hiyo. Waziri…
Kauli hiyo ya Uingereza ilitolewa siku ya Ijumaa (Agosti 22) na Waziri wa Mambo ya Kigeni, David Lammy, ambaye alilaani kile alichokiita “uovu wa kimaadili na janga la kutengezwa na…
Kuanzia Jumatatu hadi Jumatano, karibu watu wanane wamepoteza maisha katika mapigano yaliyotokea kwenye baadhi ya vijiji vya wilaya ya Mwenga, vinavyopakana na wilaya ya Uvira, hali iliyoongeza wasiwasi kwa wakaazi…
Janga la COVID-19 limechochea harakati mpya barani Afrika za kujitegemea katika uzalishaji wa dawa na chanjo ili kupunguza utegemezi mkubwa wa uagizaji kutoka nje. Upungufu na usambazaji usio sawa wa…
Taarifa kutoka kituo cha televisheni cha nchini humo, Ada Derana, zinasema Rais wa zamani wa Sri Lanka, Ranil Wickremesinghe amekamatwa na Idara ya Uchunguzi wa Jinai (CID) kuhusiana na madai…
Malalamiko yamezidi kuibuliwa na wavuvi ziwani humo juu ya unyanyasaji dhidi ya wavuvi wa Kenya unaofanywa na maafisa wa usalama wa Uganda. Takriban wiki tatu zilizopita, Kenya na Uganda zilisaini…
Mataifa hayo matatu makubwa ya Ulaya awali yalitishia kuirejeshea Iran vikwazo ilivyowekewa na Umoja wa Mataifa, iwapo Jamhuri hiyo ya Kiislamu haitorejea tena katika meza ya mazungumzo kuhusu mpango wake…
Kupitia ujumbe aliouandika kwenye mtandao wa X, Katz alisema “milango ya jehanamu” itafunguliwa dhidi ya Hamas, ambao aliwaita wauaji, hadi watakapokubali masharti ya Israel ya kumaliza vita. Ameonya kuwa iwapo…
Albina Haradinaj, mwanajeshi wa zamani kutoka Gjakova mwenye umri wa miaka 42. Ingawa hadhi yake ya veterani inamuwezesha kutambuliwa rasmi kama veterani wa vita pamoja na kupata mafao kama vile…
Kwa mujibu wa shirika la habari la AFP, jeshi la Niger limetangaza siku ya Alhamisi jioni kwamba limemuua kiongozi wa kundi la wanajihadi la Boko Haram wiki iliyopita katika Bonde…
Mahakama ya Bangkok imemuachilia huru bilionea aliyekuwa na utata na Waziri Mkuu wa zamani wa Thailand Thaksin Shinawatra kwa kosa la kuutusi utawala wa kifalme. Imechapishwa: 22/08/2025 – 07:58 Dakika…
Watu nusu milioni nchini Cameroon wana hatari ya kuachwa bila msaada wa chakula katika wiki zijazo kutokana na uhaba wa fedha, kulingana na shirika la Imoja wa Mataifa la Mpango…
Baada ya Rwanda, Eswatini na Sudan Kusini, ni zamu ya Kampala kufikia makubaliano kuhusu wahamiaji na serikali ya Marekani ya Donald Trump. Uganda, ambayo tayari inaongoza kwa kuwahifadhi wakimbizi barani…
Msimu wa mvua unaendelea nchini Niger, na kama kila mwaka, nchi hiyo inapata mvua kwa wiki kadhaa, mara kwa mara ikiambatana na mafuriko. Ingawa inadumu hadi mxezi Oktoba, idadi rasmi…
Kesi dhidi ya rais wa zamani wa DRC Joseph Kabila, iliyoanza mwezi Julai 2025 mbele ya Mahakama Kuu ya Kijeshi mjini Kinshasa, inakaribia kumalizika. Joseph Kabila Kabange, ambaye aliongoza Jamhuri…
Mahakama Kuu ya Kijeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, imetoa uamuzi wake katika kesi inayomkabili François Beya. François Beya, aliyekuwa mshauri maalum wa masuala ya usalama wa Rais FĂ©lix…
Senegal imejibu tangazo la Marekani la vikwazo vipya dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), ambayo inaituhumu kwa kuendesha tasisi hiyo “kisiasa.” Vikwazo hivi, vinavyolenga majaji wanne, majaji wawili,…
Majaji nchini Ufaransa, wamegiza kufutwa kwa uchunguzi dhidi ya Agathe Habyarimana, mke wa aliyekuwa rais wa Rwanda JuvĂ©nal Habyarimana, anayedaiwa kuhusika kwenye mauaji ya kimbari yaliyotokea mwaka 1994. Imechapishwa: 21/08/2025…
Uganda itaanza kuwapokea wahamiaji wasiokuwa na sifa ya kuishi nchini Marekani, hatua ambayo inaendeleza sera ya rais Donald Trump kuwaondoa wahamiaji haramu. Imechapishwa: 21/08/2025 – 16:12Imehaririwa: 21/08/2025 – 16:36 Dakika…
Serikali nchini Nigeria, imewafukuza nchini humo wageni 102 wakiwemo raia wa China 50, waliopatikana na makosa ya uhalifu wa mtandaoni na udanganyifu. Imechapishwa: 21/08/2025 – 16:04 Dakika 1 Wakati wa…
Marekani imeitisha mkutano wa dharura wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ili kushughulikia ukatili unaofanywa dhidi ya raia, wakiwemo waasi wa AFC/M23,…
Msafara wa magari ya msaada wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) umeshambuliwa siku ya Jumatano, Agosti 20, katika eneo la Darfur (magharibi mwa Sudan), msemaji wa shirika la…
Polisi wanasema rais wa zamani wa Brazil Jair Bolsonaro aliandika barua ya kuomba hifadhi nchini Argentina huku uchunguzi kuhusu mapinduzi ya 2024 ukizidi. Imechapishwa: 21/08/2025 – 06:50 Dakika 2 Wakati…
Rasimu ya makubaliano ya amani ya Kongo na M23 inalenga kurejesha udhibiti wa serikali katika maeneo yanayodhibitiwa na waasi. Imechapishwa: 21/08/2025 – 06:32 Dakika 2 Wakati wa kusoma Na: RFI…
Mapigano ya hivi karibuni nchini Somalia hasa katika eneo linalojitawala la Jubaland, yanatishia musatakabali wa eneo hilo, hali ambayo imesababisha makundi ya kijihadi kama lile la Al-Shaabab kujipenyeza na kuongeza…
Israel imeingia katika hatua ya awali ya kushambulia mji wa Gaza siku ya Jumatano baada ya kuidhinisha mpango wa kuutwaa ambao ni pamoja na kuwaita askari 60,000 wa akiba kwa…
Serikali ya Kenya imeliandikia rasmi barua shirikisho la soka la Afrika CAF, liruhusu mashabiki wa Kenya kuujaza uwanja wa Kasarani, wakati wa mchezo wa robo fainali dhidi ya Madagascar, unaotarajiwa…
Israel imeidhinisha mradi mkubwa wa makazi katika eneo la Ukingo wa Magharibi linalokaliwa kwa mabavu na walowezi wa Kiyahudi, uamuzi ambao jumuiya ya kimataifa imeonya kuwa unatishia uhai wa taifa…
Ajali hizi zilizoteketeza uhai wa maelfu ya watu zimechangiwa na sababu mbalimbali, zikiwemo za kiufundi, kugongana na hata kushambuliwa
ILIPOISHIA IJUMAA “Vipi kwani?” “Yule matawi ya juu sana, nimeshangaa kuona mnafahamiana tena mna ukaribu.” “Kawaida tu, yupo lakini?” “Kwani yeye amekuelekeza lini hapa” “Muda kidogo, ni kama miezi minne…
ILIPOISHIA JUMATANO “Sina uhakika na hili jambo.” “Usinitaje, mimi nimekuambia tu kama shoga yangu. Sisi wote ni wazazi.” “Sawa.” “Lakini jambo lingine linalowashtua zaidi watu ni tabia yake ya kujipenda…
MUITO wa simu iliyokuwa mezani ulimgutusha pale kitandani alipokuwa amelala, lakini aliipuuza. Simu kwa wakati ule haikuwa na maana kabisa kwake. Msichana mrembo Upendo, alikuwa kando yake, akionyesha kumhitaji sana…
ILIPOISHIA JUMATATU… Haraka mmoja wao akaingia ndani, hakukawia sana, tayari Ustaadhi Alii alikuwa ameshatoka nje, naye alikuwa anatweta. “Vipi Suma” “Mtihani Ustaadhi.” “Nini?” “Twende nyumbani.” Ustaadhi hakukaidi, wakatoka pamoja hadi…
MKATABA – 1 KICHAA cha moyo kilimpanda ghafla Suma. Ni mara ya tatu sasa anamwita msichana huyo lakini haoneshi dalili ya kumwitikia. Suma akazidi kuchanganyikiwa. Kwa nini haitikii? Akajiuliza mwenyewe…
Je, unatafuta kampuni za kubeti Tanzania ili kujisajili? Usiangalie pengine kwa kuwa sisi tunaweza kukusaidia kufanya chaguzi sahihi. Leo hii, kuna kampuni bora za kubeti ambazo hufanya muda wako wa…
Keir Rodney Starmer atakuwa Waziri Mkuu mpya wa Uingereza baada ya kukiongoza chama cha Labour katika ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu uliofanyika Julai 4 mwaka huu.
Wafanyakazi wengi waligoma mnamo Mei 1, mwaka 1886, wakipinga siku ya kazi ya saa nane
Abiria na wafanyakazi wa ndege yenye chapa A380 ya shirika la ndege la Malaysia Airlines wamepata majeraha madogo baada ya ndege hiyo waliyokuwemo kupatwa na mtikisiko mkubwa. Imechapishwa: 06/06/2016 –…
Dunia imealikwa kuhudhuria msiba wa Muhammad Ali, kwenye mji alikozaliwa siku ya Ijumaa ambako maisha ya nguli huyu wa masumbwi yatasherehekewa huku uma ukipewa nafasi ya kushiriki mazishi na ibada…
Mashambulizi ya anga yaliyofanywa na vikosi vya Serikali kwenye mji wa Aleppo hii leo, yameua watu wanaokadiriwa kufikia 16, limesema shirika moja la waangalizi wa haki za binadamu. Imechapishwa: 05/06/2016…
Mkuu wa jeshi la polisi nchini Kenya, Josephu Boinett, ametoa onyo kali kwa viongozi wa muungano wa upinzani wa Cord dhidi ya maandamano yao waliyoapanga kuyafanya siku ya Jumatatu, June…
Idhaa ya Kiswahili ya Radio France International, Jumatatu ya wiki ijayo, June 6 itazindua rasmi muonekano mpya wa tovuti yake ya kiswahili, ambao sasa wasikilizaji wataweza kupata vitu vingi na…