Magazeti ya Kenya: Miili 33, wakiwemo watoto 25, yapatikana katika kaburi la halaiki Kericho
Magazeti ya kila siku yanaangazia Matatizo ya kiafya ya Raphael Tuju akiwa chini ya ulinzi wa polisi huku kukiwa na mgogoro wa mal. Pia ufukuaji wa miili 33 Kericho.