Mkenya Akabiliwa na Mashtaka ya Mauaji ya Mpenziwe Siku ya Wapendanao nchini Namibia
Mkenya, 40, Geoffrey Jeff Kasume, alikabiliwa na mashtaka ya mauaji baada ya mpenzi wake, Regina Kondombolo, kupatikana amefariki siku chache kabla ya Valentines
Mkenya, 40, Geoffrey Jeff Kasume, alikabiliwa na mashtaka ya mauaji baada ya mpenzi wake, Regina Kondombolo, kupatikana amefariki siku chache kabla ya Valentines
Machafuko yalizuka Kitengela huku mkutano wa seneta wa Nairobi Edwin Sifuna ukisababisha kupigwa risasi kwa fundi Vincent Ayomo, jambo lililoibua hasira.
Mbunge wa Mumias Mashariki Peter Salasya amsuta vikali seneta Richard Onyonka kwa kumuonya huku kukiwa na madai ya changamoti za kifedha katika ODM
Choice Kinoti, mtayarishi wa maudhui, anazungumza baada ya mwanamume mmoja wa Urusi kuvuja kwa video za faragha kufichua uhusiano wao na hali yake ya VVU.
Uvumi unaenea kuhusu kutengana kwa Njugush na Celestine Ndinda huku mashabiki wakigundua Cele hajavalia pete yake, madai ya uzinzi katika ndoa yakiibuka
Video za Mrusi Yaytseslav zinaendelea kuzua hasira, zikionyesha matukio ya kutatanisha na wanawake, ikiwa ni pamoja na klipu ya mwanamke akisafisha boxer zake.
Mwanamke mchanga huko Mtwapa alimsihi mwanamume Mrusi, Yaytseslav, apokee zawadi, na hivyo kuzua hisia tofauti mtandaoni huku matukio yake tata yakifichuliwa.
Serikali ya Kenya imesema inamtafuta mwanamume wa Urusi ambaye alisambaa mitandaoni kwa kuweka video za wanawake aliofanya nao ngono hadharani bila idhini
Mwanamke alikiri kuhusika kwake na Vyacheslav Trahov, mwanamume wa Kirusi ambaye alirekodi matukio kwa siri, na kuzua gumzo moto kwenye mitandao ya kijamii
Mwandishi huyo mashuhuri wa wasifu anaonyesha tofauti kubwa kati ya tabia ya Ruth "kupimwa vita" na uongozi wa sasa wa kaka yao mkubwa, Dk. Oburu Oginga
Aliyekuwa seneta mteule Millicent Omanga alikihama chama cha UDA. Alisifu Linda Mwananchi Tour ya ODM huko Kitengela, na hivyo kuzua hisia kabla ya uchaguzi wa 2027.
Mbunge wa Mukurweini John Kaguchia alifichua sababu zake za kumwacha Rais William Ruto, akitaja udanganyifu na utumizi mbaya wa pesa wakati wa mikutano ya Ikulu.
Junet Mohamed alimuonya mfanyabiashara Oketch Salah dhidi ya kuchapisha tshirt za ODM zenye sura ya Ruto, akisisitiza utiifu wa kisiasa na madhara yanayoweza kutokea
Jaman Kwabena aliumia moyoni baada ya kumuona dada ambaye alimchumbia kwenye video za mtandaoni za mwanamume Mrusi Yaytseslav, na kuzua hisia tofauti mtandaoni.
George Ruto aliwavutia vijana wa Nairobi, akifichua maisha mahiri huku akionyesha matatu zake maridadi, na kuibua mijadala kuhusu mustakabali wake wa kisiasa.
Yaytseslav Truhov alivuma huku video zikifichua jinsi alivyokutana na wanawake, ikiwa ni pamoja na madai ya kulipia mahusiano ya kimapenzi. Wanamtandao walitoa maoni
Yaytseslav alirekodi kwa siri alivyoshiriki kimapenzi na wanawake nchini Kenya na Ghana, na kuzua ghadhabu, huku wakili Wangui akijitolea kuwawakilisha wanaume.
Watu wanne waliopoteza maisha wakiwemo polisi watatu, katika ajali iliyotokea katika Barabara ya Matuu-Mwingi. Maelezo ya tukio yanaonyesha kushindwa kwa mitambo.
Mwimbaji Bahati alikutana na Judith Makokha, aliyedai kuwa mamake. Muungano wao wa kihisia ulizua hisia mseto mtandaoni, wa mshtuko na mashaka juu ya madai yake.
Mbunge wa EALA Winnie Odinga amechapisha mstari mmoja wa Biblia kuhusu utamaa huku malumbano ya uongozi wa chama cha ODM yakiongezeka na mjombake Oburu Oginga.
Nyufa katika Muungano wa Upinzani ziliongezeka huku washirika wa Kalonzo Musyoka wakimshutumu Fred Matiang'i kwa kuhujumu uteuzi wa pamoja wa mgombea urais wa 2027.
Waasi wa ODM wa kundi la Edwin Sifuna walivamia mji wa Kitengela, wakipokea uungwaji mkono huku viogozi wa mrengo huo wakiukosoa uongozi wa Oburu Ogiga,
Mazungumzo yaliyovuja na video yenye msisimko yanaonyesha jinsi mwanamke alivyogundua anarekodiwa na kumkabili raia wa Urusi Yaytseslav anayevuma mitandaoni.
Yaytseslav, mwanamume kutoka Urusi, amesutwa kwa kurekodi kisiri matukio ya faraghani sehemu tofauti na wanawake. Wengi wanaamini alitumia miwani mahiri ya Ray-Ban.
Maisha ya Eunice Wanjiru yalibadilika baada ya kukutana na Uhuru Kenyatta. Kuanzia kwa bahati ya ufugaji wa ng'ombe, gundua safari yake ya kustahimili ustahimilivu.
Pesa walizotuma Wakenya wanaoishi ughaibuni zilipungua kwa 3.8% Januari 2026 hadi $411.3m, kutoka $427.4m Januari 2025 kutokana na ushuru wa 1% na Donald Trump.
Hali ya mshtuko imekumba kijiji cha Tiritap Moita huku Edmond Rono akipatikana amekufa katika Kituo cha Polisi cha Cheplanget. Uchunguzi umefichua hofu ya wakazi.
Ghasia zilizuka Migori na watu sita kupigwa risasi baada ya wafuasi wa Gavana Ochillo Ayacko na Peter Masara kuzua ghasia kuhusu siasa za uchaguzi mkuu wa 2027.
Washirika wa kiongozi wa ODM Oburu Oginga wamemsihi Winnie Odinga kufikiria upya kuhusu kumuunga mkono Edwin Sifuna wakitupia jicho urithi wa Raila Odinga.
Aliyekuwa OCS wa Likoni Yunus Athman amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa muaji ya Mbaraka Maitha Omar mwenye umri wa miaka 20 mwaka 2018 aliyekuwa hana silaha.
Siasa ndani ya ODM zimemwagika katika familia ya marehemu Raila Odinga, na kufichua mipasuko mikali ya kiitikadi inayotishia moja ya nasaba za kisiasa za Kenya.
Mwanaume kutoka Urusi Yaytseslav amezua hasira kwenye mitandao ya kijamii kwa kushiriki video za faragha za wanawake barani Afrika, akiibua wasiwasi kuhusu ridhaa.
Mwakilishi wa wanawake wa Busia Catherine Omanyo alimshutumu katibu mkuu wa ODM Edwin Sifuna kwa kufadhili wakosoaji kumdhulumu kwenye mitandao ya kijamii.
Mama mmoja wa Nairobi juzi aligundua jumbe za kashfa kati ya mumewe na mwalimu wa mwanawe, zikimuacha ameumia moyo kwani mtoto wao anapendelea shule kuliko nyumbani.
Seneta wa Kisii Richard Onyonka alidai kuwa magavana huwapa pesa maseneta ili watulize msasa katika ripoti za ukaguzi, akisema magavana wanapeana hadi KSh 10 milioni
Video ya zamani ya Mchungaji James Ng'ang'a inafichua utabiri wake kabambe, ikionyesha safari yake kutoka kwa shida hadi mhubiri maarufu nchini...
Huku bei za unga wa mahindi zikipanda Kenya kutokana na wasagaji kumaliza akiba yao, wakulima katika North Rift wamekatalia bidhaa hiyo wakitarajia bei kupanda.
Picha za CCTV za kutisha zinaonyesha mwanamke akifanya kitendo cha ajabu katika Kanisa la Grace Mountain huku waumini wakisali kimya-kimya. Mengi hapa
Waziri wa Utumishi wa Umma Geoffrey Ruku amemtaka Oburu Oginga kusahahu kiti cha Naibu Rais 2027 akisema hakifai kutumiwa kama chambo dhidi ya serikali ya Ruto.
Kikundi kinachomtii seneta wa Siaya Oburu Oginga katika ODM kilimlaumu rais huyo mstaafu kwa kudai anajitahidi sana kuvunja chama kwa faida za kibinafsi.
Mwanaume anayeitwa Abdi atetea shtaka lake dhidi ya Rais Ruto katika jukwaa la Wajir, akifichua matarajio yake kwa uchaguzi wa 2027 na kuangazia wasiwasi wa usalama.
Idara ya Hali ya Hewa ya Kenya imeonya kuhusu mvua na ngurumo za radi alasiri licha ya vipindi vya jua katika Nyanda za Juu na Bonde la Ziwa Victoria.
Arsenal na Manchester City huenda wakakutana hadi mara tano kati ya Machi na Aprili, wakisaka ubingwa wa Ligi Kuu, Carabao, Ligi ya Mabingwa, na Kombe la FA.
Michael Carrick bado hajashindwa katika mechi zake tano za kwanza lakini hajapendelewa kuwa meneja mkuu wa Manchester United huku wakimwinda Thomas Tuchel.
Inspekta Jenerali wa Polisi Douglas Kanja ameamuru uchunguzi ufanyike kuhusu tukio ambalo usalama wa Rais William Ruto ulikuwa hatarini huko Mandera.
Mwanamume wa Kisii Joshua Aura anatafakari kuhusu matamanio na kutokuwepo miaka 19, akirudi kwenye nyumba yake ya kijijini iliyopuuzwa aliyojengwa kabla ya kuondoka.
Madam Maryl Achieng, mwalimu mpendwa kwa miaka 25, alipokea sherehe ya kustaafu yenye kugusa moyo iliyojaa zawadi na shukrani kutoka kwa jamii aliyoipenda.
Fahamu hisia mseto kuhusu mila ya kipekee ya mazishi, watu wakielezea mawazo yao kuhusu maombolezo, desturi na tafsiri za kisasa baada ya maziko.
Kasisi Victor Kanyari alishangaza waumini kwa kufichua kwamba alipokea KSh 1 milioni baada ya kifo cha mke wa zamani Betty Bayo, licha ya kwamba walikuwa wamtengana
Mbunge wa Lang’ata Jalang’o alionyesha imani yake ya kumshinda Edwin Sifuna katika kiti cha useneta Nairobi 2027. Jjuzi alitangaza kwamba hatawania ubunge tena.