Rigathi Gachagua, viongozi wa upinzani warejea Othaya siku chache baada ya kushambuliwa na polisi
Siku chache baada ya shambulio Naibu rais wa zamani Rigathi Gachagua anarudi Othaya kwa mkutano wa siasa. Upinzani ulisema hatua hiyo ni kupigania demokrasia.