Magazetini: Jinsi Ruto, Oburu na Wanga walivyopanga kufurushwa kwa Edwin Sifuna
Mnamo Ijumaa, Februari 13, magazeti ya Kenya yaliangazia mfarakano unaozidi kuongezeka katika Chama cha ODM kufuatia uamuzi wa NEC kumtimua Katibu Mkuu Edwin Sifuna.
Mnamo Ijumaa, Februari 13, magazeti ya Kenya yaliangazia mfarakano unaozidi kuongezeka katika Chama cha ODM kufuatia uamuzi wa NEC kumtimua Katibu Mkuu Edwin Sifuna.
Mwimbaji wa nyimbo za injili Kambua na mumewe Jackson Mathu waliadhimisha siku ya kuzaliwa ya miaka mitano ya marehemu mwanao Malaki kwa heshima na sala za dhati.
Picha za CCTV zilifichua shambulio la kinyama la James Mwangi huko Kiambu. Mitandao iliwaka huku wito wa haki ukiongezeka kufuatia kifo chake cha kusikitisha.
Mama wa Kiambu Susan Wanjiru aliomba usaidizi wa kumtafuta mwanawe Joseph Kamau, ambaye alitoweka nchini Urusi baada ya kuondoka kutafuta nafasi ya kazi.
Wanachama wa ODM wa Kakamega wamegawanyika kuhusu uamuzi wa kumtimua Edwin Sifuna. Gavana Fernandes Barasa na MCAs wa ODM wanasoma maandishi tofauti.
Naibu kiongozi wa chama cha ODM Godfrey Osotsi alidai kwamba Oburu Oginga alikutana na Rais William Ruto Ikulu baada ya Sifuna kunyang'anywa mamlaka ODM.
Korti Kuu ya Embu imefuta ombi dhidi ya mbunge wa Mbeere Kaskazini Leo Wamuthende, kesi sambamba na Newton Kariuki inaedelea, inazua hofu kuhusu haki ya uchaguzi.
Rais William Ruto alijaa hofu ya usalama wake akitoa hotuba huko Mandera wakati mwanamume mmoja alirukia jukwaa lake ghafla na kuelekea upande wake.
Rais William Ruto alishtuka wakati wa uzinduzi wa mradi wa NYOTA huko Wajir baada ya kijana mmoja kurukia jukwaa na kukimbia kuelekea upande wake.
Baada ya kifo cha babake, Joshua hivi majuzi alirejea katika nyumba aliyoijenga Kisii akiwa na umri wa miaka 20, akijifunza umuhimu wa mizizi, mali, na maana ya boma
Babu Owino atangaza vita katika ODM kuhusu kuondolewa kwa Edwin Sifuna. Amelaani uharamu na kuwataka wanasiasa kuchagua upande wao katika mzozo unaozidi kupamba moto
Mzee Samson Cheruiyot anaomboleza kifo cha ghafla cha mwanawe Kelvin Kiptum, akielezea uchungu wake kutokana na kutengwa na usimamizi na mjane Asenath.
Catherine Omanyo amteuliwa kuwa kaimu katibu mkuu wa ODM, na kuleta uzoefu na utetezi wa mashinani huku Edwin Sifuna akifukuzwa kutokana na mabadiliko ya uongozi.
Binti mmoja amenaswa akiiba simu kwenye basi la Ena Coach na kusababisha tafrani kwa abiria huku mjadala mkubwa ukizuka kwenye mitandao ya kijamii.
Mbunge Winnie Odinga ameonyesha kumuunga mkono SG wa ODM aliyetimuliwa Edwin Sifuna wakati wa mkutano na wanahabari, akiwa amesimama na viongozi wengine wa chama
Kevin Bahati Awasiliana na Judith Makokha, ambaye anadai kuwa mama yake, akifichua mazungumzo tata ya zamani na ya kihisia kuhusu msamaha na utambulisho.
Gavana wa Siaya James Orengo amemlaumu William Ruto kwa mgawanyiko katika ODM, akimtuhumu kwa kutumia ghilba katika mikutano na kudhoofisha viongozi muhimu.
Katibu mkuu wa ODM Edwin Sifuna amedokeza kupinga kutimuliwa kwake kutoka ODM kupiti mahakamani, akiapa kuhifadhi urithi wa marehemu Raila Odinga.
Baba Levo, mwimbaji huyo ambaye amegeuka kuwa mwanasiasa, alifichua mipango ya kujiunga na Kidato cha Kwanza, akitaja changamoto za elimu na usaidizi wa Diamond.
Baraza la Magavana (CoG) liliorodhesha maseneta wanne wanaoshutumiwa kwa kupenda rushwa. Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna na Samson Cherargei wa Nandi ni miongoni mwao
Rais William Ruto aliahidi kuitisha mkutano wa kumtimua aliyekuwa SG wa ODM Edwin Sifuna kwa kumshambulia kufuatia kubuniwa kwa serikali pana....
Kiongozi wa ODM Oburu Oginga amefafanua nia ya chama kujadili kuhusu afisi ya naibu rais, akisisitiza mamlaka ya umma kuhusu ushindani wa kibinafsi.
ODM ilimtimua SG Edwin Sifuna katika mkutano wa NEC uliokumbwa na utata huku kukiwa na mijadala kuhusu haki na uadilifu. Catherine Omanyo aliteuliwa kuwa kaimu SG
Seneta Edwin Sifuna amevunja ukimya baada ya kuondolewa kwenye wadhifa wa ODM, amesema amezidiwa na uungwaji mkono na atahutubia wanahabari baadaye.
Benki ya Dunia ilikanusha kumkosoa naibu rais wa zamani Rigathi Gachagua kuhusu kauli yake dhidi ya programu ya NYOTA ya Kenya Kwanza yenye thamani ya KSh 5 bilioni.
Kiongozi wa ODM Oburu Oginga amesema chama cha ODM hakijajitolea kwa serikali au upinzani, akisema bado kinatafuta washirika wanaofaa wakati unaofaa.
Katibu mkuu wa zamani wa ODM Edwin Sifuna ana mkutano wa kisiasa Jumapili hii, Februari 15, huko Kitengela, kaunti ya Kajiado, wa kwanza baada ya kuvuliwa ubosi.
Kuvuliwa kofia ya katibu mkuu wa ODM kutoka kwa seneta wa Nairobi Edwin Sifuna kulitiwa muhuri katika mkutano wa saa nyingi wa Kamati Kuu ya Kitaifa (NEC).
Rais William Ruto ametetea jukumu la kusambaza fedha za NYOTA dhidi ya madai ya Gachagua ya kuchochea siasa, akisisitiza uwezeshaji wa vijana na uundaji wa ajira.
Edwin Sifuna amevuliwa madaraka ya Katibu mkuu wa ODM. Kufuatia hatua hiyo, macho yote sasa yanaelekezwa chama kipya cha People’s Renaissance Movement.
Kikao cha Kamati Kuu ya Kitaifa ya ODM kiliazimia kumuondoa Edwin Sifuna katika wadhifa wa katibu mkuu wa chama. Sifuna anatuhumiwa kuwa mkorofi.
Kiongozi wa ODM Oburu Oginga alikabiliana na maafisa wa chama kuhusu maoni tofauti kabla ya uchaguzi wa 2027, akisisitiza nidhamu na maamuzi ya pamoja.
Kijiji kimoja Nandi kinaomboleza baada ya Duncan Kimaru wa miaka 31 kudaiwa kumuua mkewe Jelagat, 24, kabla ya kujitoa uhai na kuwaacha wanao wawili mayatima
Mzozo wa mahari ulisitisha mazishi ya Gogo Nyahara nchini Malawi, huku jamaa zake walioteta kuhusu ng'ombe mmoja aliyesalia. Familia iliyochacha ilimzaba chifu.
Kiongozi wa DCP Rigathi Gachagua anaanza ziara ya Bonde la Ufa kuwashukuru wafuasi na kuungana tena na jamii ya Kipsigis kufuatia mivutano ya hivi majuzi ya kisiasa.
Mtangazaji wa BBC Waihiga Mwaura na mkewe Joyce Omondi walianika kanda ya wakiwa na mwanao, wakisherehekea maisha tangu walipopata baraka ya malaika wao 2024.
Kiongozi wa ODM Oburu Oginga alikosoa mabadiliko katika muungano wa Azimio, akidai ODM ndio wengi katika muungano huo. Alitangaza mpango wa kuondoka huku.
Safari ya Irwin Mukonyole iligeuka kuwa ya kusikitisha baada ya baba mzazi waliyesafiri pamoja kwenda Nairobi kwa matibabu kufariki dunia kwa masikitiko makubwa.
Familia huko Mathira Yaomboleza Binti yao wa miaka tisa, Shantel Waruguru, Kuuawa Kinyama. Msemaji wa familia alishiriki hali ya kuhuzunisha ya mwili wake.
Edwin Sifuna alisusia kikao muhimu cha NEC kilichongozwa na Oburu Oginga, na kuzua wasiwasi kuhusu mustakabali wake kama katibu mkuu kukiwa na msukosuko chamani.
ODM inatazamiwa kuandaa mkutano muhimu wa NEC mjini Mombasa kushughulikia mizozo ya ndani, mizozo ya uongozi wa Azimio na uvumi kuhusu mustakabali wa Edwin Sifuna.
Mbunge wa Saboti Caleb Amisi ameondolewa kwenye wadhifa wa naibu katibu mratibu wa ODM huku mizozo ya ndani ya chama ikiendelea kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2027.
Seneta Richard Onyonka alikumbana na usumbufu wakati wa mkutano wa Nakuru wakati nyoka alipovamia, jambo lililozua taharuki akimhoji Rais Ruto kuhusu ufisadi.
Tarehe za kusikilizwa kwa kesi za kuondolewa kwa Rigathi Gachagua zimepangwa. Naibu Rais wa zamani anaomba fidia kwa madai ya kuondolewa kwake kinyume cha sheria.
Hafla ya mazishi ilitatizwa kiasi wakati jeneza lilipotumbukia kaburini, na kusababisha hofu miongoni mwa waombolezaji, tukio lililonaswa kwenye video iliyopepea.
Rigathi Gachagua amemtuhumu Rais William Ruto kwa kuingiza siasa za uchaguzi mkuu wa 2027 katika mpango wa Mfuko wa NYOTA unaofadhiliwa na Benki ya Dunia.
Mwanahabari Samira Mohammed alieleza kwa nini timu yake ilirudisha KSh 20k walizotumiwa na Nabii David Owuor baada ya kupeperusha matangazo kuhusu madai ya uponyaji.
Maafisa wa upelelezi kutoka Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) wamemkamata mwanamume wa Nyeri anayeshukiwa kumuua msichana wa miaka tisa ambaye alikuwa amepotea.
Katibu mkuu wa ODM Edwin Sifuna huenda akapoteza kiti chake huku kundi linalomuunga mkono Oburu Oginga lenye njama hiyo likikutana Mombasa kufanya uamuzi.
Madai ya Peter Oyan ya kuponywa Ukimwi na Nabii David Owuor yalichunguzwa huku upekuzi ukifichua madai ya rekodi za matibabu ghushi, na hivyo kuzua hasira za umma.