Madagascar: Wanajeshi waunga mkono waandamanaji, Rajoelina ‘bado yuko nchini’
Maandamano dhidi ya serikali nchini Madagascar yanazidi kuongezeka. siku ya Jumamosi, Oktoba 11, makundi ya wanajeshi yamejiunga na maandamano katika mitaa ya Antananarivo, na kikosi cha jeshi la Madagascar kimetoa…