Eric Omondi akaribishwa na umati mkubwa Nakuru huku akifanya matembezi ya 460km kuelekea Busia
Kampeni ya Eric Omondi ya Sisi kwa Sisi inaendelea huku akitembea kilomita 460 kutoka Nairobi kue;lekea Busia, akihutubia Wakenya na kutetea hisani .
US–Iran conflict threatens TZ, EA growth
DAR ES SALAAM: TANZANIA and the wider East African region are facing potential knock-on effects from escalating tensions between the United States and Iran, as conflict-driven volatility in global energy…
Afariki dunia kwa kudumbukia kisimani, Zimamoto watahadharisha
Mtoto Bryson Frank (15), mkazi wa mtaa wa Majengo, kijiji cha Iwalanje jijini Mbeya amefariki...
Mauaji Kasarani: Afisa mkuu katika DCI ajisalimisha kwa polisi baada ya kudaiwa kumuua mkewe
Afisa wa ngazi ya juu katika DCI Daniel Macharia ajisalimisha baada ya mkewe Florence Nyagah kupatikana ameuawa. Wachunguzi wamefichua maelezo ya kushangaza.
Mamake Johana Ng’eno aliyevunjika moyo afarijiwa na mjane wa mwanawe
Kifo cha mbunge wa Emur Dikir kimewaacha wakenya na jamii ya Wakalenjin wakiwa na huzuni. Picha za mjane wa Dikir akimfariji mama mkwe wake ziliibuka mtandaoni.
Geita residents to receive 70bn/- in mining compensation
GEITA: THE Geita Gold Mining Company (GGML) has announced that approximately 70bn/- will be paid in compensation to residents of Geita Municipal Council to pave the way for ongoing mining…
Jamaa amwaga machozi baada ya mkewe mjamzito na mwanao aliyekuwa tumboni kufariki hospitalini
Kisa cha kusikitisha Nairobi kilipelekea Viona Munai, mwenye ujauzito wa miezi tisa kufariki baada ya kung'olewa jino. Familia yake inalilia haki kufuatia msiba huo.
Samia reshuffles envoys in diplomatic shake-up
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has reshuffled and appointed ambassadors to various diplomatic stations in a move aimed at strengthening the country’s representation abroad. According to a statement…
2VP commends NMB for Ramadan solidarity
ZANZIBAR: THE Zanzibar Second Vice-President (2VP), Alhajj Hemed Suleiman Abdulla, has commended NMB Bank for its continued culture of bringing together customers, stakeholders and orphans for a joint Iftar during…
Viongozi watakiwa kueleza thamani na chanzo mali zao
MOROGORO: SEKRETARIETI ya Maadili ya Viongozi wa Umma imesema sheria ya maadili ya viongozi wa umma inawataka viongozi waliopewa dhamana ya kuwaongoza wananchi wawe wazi kuorodhesha mali au rasilimali wanazomiliki.…
Chinese experts step up rainy season disease prevention in Pemba
ZANZIBAR: CHINESE public health experts assisting Zanzibar have conducted a large-scale health education campaign on waterborne infectious diseases ahead of the rainy season in Pemba. The activity was held recently…
Govt moves to restore order at Darajani trade hub
ZANZIBAR: THE Unguja Mjini-Magharibi Regional Commissioner has called on traders operating in Darajani to strictly comply with business laws and regulations in order to maintain order and protect the city’s…
Hujuma ya kijeshi dhidi ya Iran inakiuka Kanuni za Umoja wa Mataifa
Naibu Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amesema kuwa hujuma ya kijeshi yaliyotumika na Marekani na Israel dhidi ya Iran inakiuka Kanuni za Umoja wa Mataifa.
Local turnout rises at Ngorongoro– Lengai Geopark Museum
KARATU: NEARLY five months after its launch, the number of Tanzanians visiting the Ngorongoro–Lengai Geopark Museum in Karatu District, Arusha Region, continues to rise. The museum was inaugurated on October…
Ewura yatangaza bei mpya ya mafuta, yapanda bandari zote
Katika bei hizo, watumiaji wa mafuta ya dizeli wameshuhudia ongezeko la bei mara mbili zaidi...
How corruption in Kenya erodes public trust
NAIROBI: FORMER Mandera Senator Billow Kerrow has warned that corruption in the country has reached alarming levels, severely undermining public confidence in government institutions. Speaking during a morning interview with…
Mazungumzo na Iran yameonyesha wazi kuwa Marekani ililenga kuhadaa
Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje ya Iran na ambaye sasa ni mbunge amesema kuwa mazungumzo yameonyesha kuwa Marekani imekuwa ikifuatilia sera ya hadaa.
Rais William Ruto aunga mkono azma ya Jalang’o kuwania useneta Nairobi: “Seneta wetu 2027”
Rais William Ruto Aunga Mkono Jalang'o Kuwa Seneta Nairobi mwaka wa 2027, Amfichua wakati wa ziara yake jijini, akiandaa jukwaa la mapambano na Edwin Sifuna.
Hamisa Mobetto kafunga kazi na Alikiba!
Miaka mitano iliyopita, mwanamuziki wa Bongofleva, Alikiba na mwanamitindo Hamisa Mobetto...
Judiciary reforms boost case disposal to 128pc
DODOMA: SWEEPING reforms within the Judiciary have significantly improved case disposal rates, with courts clearing 128 per cent of newly filed cases between September and December 2025. Speaking to journalists…
William Ruto akejeli kauli mbiu ya Oburu Oginga ya ‘Tunataka power’: “Sijui ni power gani”
Rais William Ruto adhihaki kauli mbiu ya Oburu Oginga ya "Tunataka power" jijini Nairobi, anatetea uwekezaji wa elimu, anazua meme mtandaoni na mjadala wa kisiasa.
Wafahamu watoto sita wa Madonna
Akiwa ameuza rekodi zaidi ya milioni 300 duniani kote na kutambulika kama mwanamuziki wa kike...
Ibenge laments costly errors, Feisal red card
MWANZA: AZAM FC Head Coach Florent Ibenge has admitted his side paid the price for a poor start and costly errors in their dramatic comeback draw against Pamba Jiji FC…
Johana Ng’eno: Kutana na mjane mchanga, watoto walioachwa na Mbunge wa Emurua Dikirr
Mbunge wa Emurua Dikirr Johana Ng'eno alifariki katika ajali ya chopa. Ameacha nyuma mjane mchanga, Nayianoi Ntutu, na mabinti wawili. Taifa linaomboleza.
Vita Iran: Donald Trump anatishia ‘kusitisha biashara yoyote’ na Uhispania
Rais wa Marekani Donald Trump, siku ya Jumanne, Machi 3, ametishia “kusitisha biashara yoyote na Uhispania,” akikosoa kukataa kwake kuruhusu Marekani kutumiakambi za kijeshi huko Andalusia kwa vita vyake dhidi…
Uchaguzi wa Somalia wakaribia huku Al-Shabaab wakitishia kudhibiti Mogadishu
Wakati Somalia ikikaribia uchaguzi muhimu huku mizozo, kuibuka tena kwa Al-Shabaab kunaleta tishio kubwa kwa Mogadishu, usalama wa kikanda, na utulivu wa kimataifa.
Siku ya Tano ya Vita; Wimbi la 17 la Operesheni ya “Ahadi ya Kweli 4”
Vikosi vya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vinaendeleza operesheni za ‘Ahadi ya Kweli 4’ ikiwa ni katika kujibu uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ulioanzishwa…
Ronaldo asalia Saudi Arabia, Al-Nassr yatoa ufafanuzi
Klabu ya Al-Nassr imethibitisha kuwa nahodha wake, Cristiano Ronaldo, bado yupo Saudi Arabia...
Mashambulizi nchini Iran: Hatari ya kambi za kijeshi za Marekani barani Ulaya
Vita vinavyoendeshwa na Marekani na Israel dhidi ya Iran vinaongeza mvutano mkubwa barani Ulaya. Wakati mashambulizi yakiendelea, na yanaweza kudumu “mwezi mwingine au zaidi,” kulingana na Rais Donald Trump, baadhi…
Gerrard aishambulia Liverpool kisa kipigo cha Wolves
Nguli wa zamani wa Liverpool, Steven Gerrard, ameikosoa vikali klabu yake hiyo kufuatia kipigo...
Jamaa Mkenya amzomea baba yake wakati wa mazishi ya mama mzazi, adai alimmtendea maovu alipokuwa hai
Mwanaume Mkenya alimkemea baba yake hadharani kwenye mazishi ya mama mzazi kwa kudai alimtendea vibaya alipokuwa hai. Alizua mjadala mkali mtandaoni
Govt issues travel advisory over Middle East security situation
DAR ES SALAAM: THE government has issued a security and travel advisory to Tanzanians residing in or planning to travel to the Middle East including Bahrain, Israel, Kuwait, Qatar, the…
Johana Ng’eno:Msanii aliyemkaribisha Mbunge saa chache kabla ya kifo asimulia nyakati zao za mwisho
Gundua saa za mwisho za marehemu Mbunge Johana Ng'eno, aliyesherehekea kumbukumbu ya miaka 35 ya mwanamuziki Hillary Juma Chemos kabla ya mkasa wa helikopta.
State eyes agri transformation to boost jobs
DODOMA: THE government is determined to reform the agriculture sector to reduce poverty and increase employment opportunities for youth. Deputy Minister for Agriculture, Mr David Silinde, made the remarks in…
Donald Trump akanusha kushinikizwa na Israel kuingia vitani dhidi ya Iran
Utawala wa Trump umejaribu kujitetea kwa umaa siku ya Jumanne, Machi 3, kufuatia kauli ya Waziri wa Mambo ya Nje Marco Rubio ambaye alisema kuwa Marekani ilianzisha mashambulizi dhidi ya…
Tanzania rebuts international claims on poll violence
GENEVA: TANZANIA has denounced what it described as biased statements from several international partners and human rights organisations regarding violence linked to the October General Election, arguing that their interventions…
Tank farm to bolster reserves
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan yesterday issued four directives aimed at strengthening national energy security, ordering an immediate reinforcement of the National Strategic Petroleum Reserve as global fuel…
Nguvu ya mwanamke kujitegemea ni msingi wa mafanikio
Wakati Tanzania ikiadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kila ifikapo Machi 8, hiyo ni fursa kwa...
Marekani ‘yaidhinisha’ wafanyakazi wake wasio wa lazima kuondoka nchini Saudi Arabia na Oman
Marekani “imeidhinisha” wafanyakazi wake wasio wa lazima kwenye balozi zake Saudi Arabia na Oman kuondoka katika nchi hizo, balozi za nchi hizo mbili za Ghuba zimetangaza siku ya Jumanne. Nchi…
Wanafunzi 185 wameuawa shahidi Iran katika hujuma za kigaidi za Israel, Marekani
Waziri wa Elimu Iran, Alireza Kazemi, amesema katika mashambulizi ya kigaidi yaliyoanzishwa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran Jumamosi, hadi sasa wanafunzi wasiopungua 185 wameuawa…
Govt pushes banks to fund livestock producers
BUKOBA: MINISTER for Livestock and Fisheries, Dr Bashiru Ally Kakurwa has urged financial institutions to direct loans to livestock production groups across the country to boost productivity and increase government…
PM receives 305 complaints at Mbulu public rally
MANYARA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba received 305 complaints and proposals from residents of Mbulu District, Manyara Region during a public rally that marked the conclusion of his three-day working tour…
Magazetini Kenya, Machi 4: Edwin Sifuna Asemekana Anasajili Chama Kipya cha Kisiasa
Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna na mrengo wa ODM wanaripotiwa kushinikiza kusajiliwa kwa Linda Mwananchi kama chama cha kisiasa 2027................
Kwanini Iran haijamshambulia jirani yake Uturuki licha ya kumiliki kambi za kijeshi za Marekani?
Kambi ya wanajeshi wa anga ya Incirlik na kambi ya Kürecik iliyoko Malatya ni miongoni mwa vituo muhimu zaidi vya kijeshi vinavyohusishwa na Marekani nchini Uturuki.
Mlipuko mkubwa wasikika Beirut baada ya kombora kurushwa kuelekea Israel
Israel imetangazaleo Jumatano, Machi 4, kwamba imezindua “wimbi kubwa” la mashambulizi mapya dhidi ya Iran, huku vita vya Mashariki ya Kati vikiingia siku yake ya tano. Imechapishwa: 04/03/2026 – 06:40…
MOI expands complex surgery services
DODOMA: TANZANIA has taken a significant step forward in advanced healthcare delivery after the Muhimbili Orthopaedic Institute (MOI) introduced nine new superspecialised services in 2025, substantially reducing the need to…
Iran ikiendelea kushambuliwa, Je, washirika wake Urusi na China wataingilia kati?
Urusi na China zote zinaimarisha uhusiano imara wa kidiplomasia, kibiashara na kijeshi na Jamhuri hiyo ya Kiislamu, lakini mgogoro wa sasa utaamua ni kwa kiasi gani ziko tayari kuiunga mkono.