Vita Iran: Donald Trump anatishia ‘kusitisha biashara yoyote’ na Uhispania
Rais wa Marekani Donald Trump, siku ya Jumanne, Machi 3, ametishia “kusitisha biashara yoyote na Uhispania,” akikosoa kukataa kwake kuruhusu Marekani kutumiakambi za kijeshi huko Andalusia kwa vita vyake dhidi…
Uchaguzi wa Somalia wakaribia huku Al-Shabaab wakitishia kudhibiti Mogadishu
Wakati Somalia ikikaribia uchaguzi muhimu huku mizozo, kuibuka tena kwa Al-Shabaab kunaleta tishio kubwa kwa Mogadishu, usalama wa kikanda, na utulivu wa kimataifa.
Siku ya Tano ya Vita; Wimbi la 17 la Operesheni ya “Ahadi ya Kweli 4”
Vikosi vya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vinaendeleza operesheni za ‘Ahadi ya Kweli 4’ ikiwa ni katika kujibu uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ulioanzishwa…
Ronaldo asalia Saudi Arabia, Al-Nassr yatoa ufafanuzi
Klabu ya Al-Nassr imethibitisha kuwa nahodha wake, Cristiano Ronaldo, bado yupo Saudi Arabia...
Mashambulizi nchini Iran: Hatari ya kambi za kijeshi za Marekani barani Ulaya
Vita vinavyoendeshwa na Marekani na Israel dhidi ya Iran vinaongeza mvutano mkubwa barani Ulaya. Wakati mashambulizi yakiendelea, na yanaweza kudumu “mwezi mwingine au zaidi,” kulingana na Rais Donald Trump, baadhi…
Gerrard aishambulia Liverpool kisa kipigo cha Wolves
Nguli wa zamani wa Liverpool, Steven Gerrard, ameikosoa vikali klabu yake hiyo kufuatia kipigo...
Jamaa Mkenya amzomea baba yake wakati wa mazishi ya mama mzazi, adai alimmtendea maovu alipokuwa hai
Mwanaume Mkenya alimkemea baba yake hadharani kwenye mazishi ya mama mzazi kwa kudai alimtendea vibaya alipokuwa hai. Alizua mjadala mkali mtandaoni
Govt issues travel advisory over Middle East security situation
DAR ES SALAAM: THE government has issued a security and travel advisory to Tanzanians residing in or planning to travel to the Middle East including Bahrain, Israel, Kuwait, Qatar, the…
Johana Ng’eno:Msanii aliyemkaribisha Mbunge saa chache kabla ya kifo asimulia nyakati zao za mwisho
Gundua saa za mwisho za marehemu Mbunge Johana Ng'eno, aliyesherehekea kumbukumbu ya miaka 35 ya mwanamuziki Hillary Juma Chemos kabla ya mkasa wa helikopta.
State eyes agri transformation to boost jobs
DODOMA: THE government is determined to reform the agriculture sector to reduce poverty and increase employment opportunities for youth. Deputy Minister for Agriculture, Mr David Silinde, made the remarks in…
Donald Trump akanusha kushinikizwa na Israel kuingia vitani dhidi ya Iran
Utawala wa Trump umejaribu kujitetea kwa umaa siku ya Jumanne, Machi 3, kufuatia kauli ya Waziri wa Mambo ya Nje Marco Rubio ambaye alisema kuwa Marekani ilianzisha mashambulizi dhidi ya…
Tanzania rebuts international claims on poll violence
GENEVA: TANZANIA has denounced what it described as biased statements from several international partners and human rights organisations regarding violence linked to the October General Election, arguing that their interventions…
Tank farm to bolster reserves
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan yesterday issued four directives aimed at strengthening national energy security, ordering an immediate reinforcement of the National Strategic Petroleum Reserve as global fuel…
Nguvu ya mwanamke kujitegemea ni msingi wa mafanikio
Wakati Tanzania ikiadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kila ifikapo Machi 8, hiyo ni fursa kwa...
Marekani ‘yaidhinisha’ wafanyakazi wake wasio wa lazima kuondoka nchini Saudi Arabia na Oman
Marekani “imeidhinisha” wafanyakazi wake wasio wa lazima kwenye balozi zake Saudi Arabia na Oman kuondoka katika nchi hizo, balozi za nchi hizo mbili za Ghuba zimetangaza siku ya Jumanne. Nchi…
Wanafunzi 185 wameuawa shahidi Iran katika hujuma za kigaidi za Israel, Marekani
Waziri wa Elimu Iran, Alireza Kazemi, amesema katika mashambulizi ya kigaidi yaliyoanzishwa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran Jumamosi, hadi sasa wanafunzi wasiopungua 185 wameuawa…
Govt pushes banks to fund livestock producers
BUKOBA: MINISTER for Livestock and Fisheries, Dr Bashiru Ally Kakurwa has urged financial institutions to direct loans to livestock production groups across the country to boost productivity and increase government…
PM receives 305 complaints at Mbulu public rally
MANYARA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba received 305 complaints and proposals from residents of Mbulu District, Manyara Region during a public rally that marked the conclusion of his three-day working tour…
Magazetini Kenya, Machi 4: Edwin Sifuna Asemekana Anasajili Chama Kipya cha Kisiasa
Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna na mrengo wa ODM wanaripotiwa kushinikiza kusajiliwa kwa Linda Mwananchi kama chama cha kisiasa 2027................
Kwanini Iran haijamshambulia jirani yake Uturuki licha ya kumiliki kambi za kijeshi za Marekani?
Kambi ya wanajeshi wa anga ya Incirlik na kambi ya Kürecik iliyoko Malatya ni miongoni mwa vituo muhimu zaidi vya kijeshi vinavyohusishwa na Marekani nchini Uturuki.
Mlipuko mkubwa wasikika Beirut baada ya kombora kurushwa kuelekea Israel
Israel imetangazaleo Jumatano, Machi 4, kwamba imezindua “wimbi kubwa” la mashambulizi mapya dhidi ya Iran, huku vita vya Mashariki ya Kati vikiingia siku yake ya tano. Imechapishwa: 04/03/2026 – 06:40…
MOI expands complex surgery services
DODOMA: TANZANIA has taken a significant step forward in advanced healthcare delivery after the Muhimbili Orthopaedic Institute (MOI) introduced nine new superspecialised services in 2025, substantially reducing the need to…
Iran ikiendelea kushambuliwa, Je, washirika wake Urusi na China wataingilia kati?
Urusi na China zote zinaimarisha uhusiano imara wa kidiplomasia, kibiashara na kijeshi na Jamhuri hiyo ya Kiislamu, lakini mgogoro wa sasa utaamua ni kwa kiasi gani ziko tayari kuiunga mkono.
Ali Khamenei kuzikwa katika Mji Mtakatifu wa Mashhad
Kiongozi wa kiroho wa Iran Ayatollah Ali Khamenei atazikwa katika Mji Mtakatifu wa Mashhad, limeripoti shirika la habari la Fars la nchini Iran. Imechapishwa: 04/03/2026 – 06:02Imehaririwa: 04/03/2026 – 06:04…
Ministry calls for updated education databases
ARUSHA: THE government has directed Regional and Council Education Officers across the country to establish accurate and updated databases in every local authority to enable effective planning for human resources,…
Serikali ionyeshe njia ya kusaidia wanyonge
Kwa mara nyingine, Tume ya Ushindani wa Haki wa Kibiashara Zanzibar (ZFCC) imewaonya...
Zanzibar agroecology movement gains national momentum
ZANZIBAR: ZANZIBAR has long been celebrated for its spices, particularly cloves, which command strong domestic and international markets. Today, the islands are earning renewed recognition not only for what they…
Nchi wanachama wa ECOWAS kuunda kikosi cha kupambana na wanajihadi
Nchi za Jumuiya ya nchi za Afrika Magharibi ECOWAS, zimekubaliana kuunda kikosi kipya cha wanajeshi 2,000 kwa lengo la kukabiliana na tishio linaloongezeka la makundi ya wanajihadi katika ukanda huo.…
Je vikwazo vya Marekani dhidi ya Rwanda vitakuwa na athari gani?
Baada ya Wizara ya Fedha nchini Marekani, kuliwekea vikwazo jeshi la Rwanda na maafisa wake wanne waandamamizi kwa sababu ya vita vinavyoendelea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia Congo na kukiuka…
Marekani dhidi ya Iran: Viongozi wa dunia wachukua misimamo tofauti
Waziri wa mambo ya nje wa Iran Abbas Araghchi, amepinga shtuma kuwa wanawalenga mataifa jirani.
Happyness alivyoyaepuka mateso ya ndoa na kuangukia udereva
Katika mahojiano yake na Mwananchi, Happyness anaeleza safari yake ya maisha tangu alipoanzia...
Israel yafanya mashambulizi mapya dhidi ya Iran huku Marekani ikiwatambua wanajeshi wake waliouawa
Wanajeshi wanne wa akiba wa Marekani waliuawa Jumapili katika shambulizi la ndege zisizo na rubani nchini Kuwait siku ya moja baada ya Marekani na Israel kuanza mashambulizi dhidi ya Iran.
Tetesi za soka Ulaya Jumatano: Mustakabali wa Bruno Fernandes Man United utategemea kufuzu katika klabu bingwa
Barcelona kuongeza juhudi kwa ajili ya beki wa Tottenham Micky van de Ven, Mustakabali wa Bruno Fernandes Manchester United unategemea kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa na Aston Villa wanamtaka Harry…
Huenda kipindi cha El Nino kikarejea tena baadae mwaka huu: UN
Umoja wa Mataifa umeonya kuwa huenda kipindi cha El Nino kikarejea tena baadae mwaka huu, wakati huu majira ya baridi ya La Nina yakitoweka. Imechapishwa: 04/03/2026 – 04:26Imehaririwa: 04/03/2026 –…
Wachungaji wa mrengo wa kihafidhina wa kanisa Anglikana wanakutana Nigeria
Kundi la Wachungaji kutoka mrengo wa kihafidhina wa kanisa Anglikana wanakutana wiki hii mjini Abuja Nigeria, kuchagua kiongozi mbadala wa kanisa hilo tofauti na Sarah Mullally, ambaye amekuwa mwanamke wa…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Machi 4, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania…
Teacher incentives boost 3Rs performance
DODOMA: The Learning Project, which provides incentives and bonuses to teachers of Grades One to Three to strengthen pupils’ skills in Reading, Writing, and Arithmetic (the “3Rs”) in 265 primary…
ODM wafikisha ujumbe wa madai yao kwa UDA ya Ruto baada ya mkutano uliopuuzwa na Sifuna
ODM Yaweka Madai Mawili kwa UDA: Kuhifadhi viti vyote vya sasa vya bunge na kuhakikisha fidia kwa waathiriwa wa ukatili wa polisi chini ya ajenda ya vipengele 10.
IRGC: Hakuna jinai na mauaji ya kidhulma yanayofanywa na US na wazayuni yatayopita bila ya jibu
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesisitiza kuwa, wahalifu wa Kimarekani na Kizayuni wajue kwamba hakuna hata moja kati ya jinai na mauaji ya kidhulma wanayofanya yatakayopita bila…
YouVersion opens Kenya hub as Africa leads Bible growth
NAIROBI, Kenya—YouVersion, creator of the world’s most popular Bible App, has opened a Regional Hub in Kenya to support the significant Bible engagement momentum already underway across Africa. The opening…
Wakazi Meru wawashutumu wabunge wao kwa kumhadaa Ruto kuhusu miradi ya maendeleo eneo hilo
Wenyeji wa Meru wana hasira kuhusu miradi iliyokwama. Wanawashutumu Wabunge wao kwa kushindwa kuwasiliana na Rais Ruto kuhusu hali halisi iliyopo.
Sunil Mittal atunukiwa tuzo ya maisha ya GSMA kwa mageuzi ya mawasiliano duniani
Taasisi ya kimataifa ya sekta ya mawasiliano ya simu, GSMA, imemtunuku Tuzo ya Maisha (Lifetime...