UDA wakejeli upinzani baada ya ushindi mkubwa katika chaguzi nne ndogo: “Rudderless and clueless”
Ushindi mkubwa wa UDA katika uchaguzi mdogo wa Februari 26 unaangazia uungwaji mkono wa umma kwa uongozi wake, huku ikikemea masimulizi ya upinzani usio na msimamo.
Helios yatoa vifaa vya mil 30/- kukuza TEHAMA shuleni
NYASA, RUVUMA: Wakati taifa likichukua hatua mbalimbali kukuza uchumi wa kidijiti, Kampuni ya Helios Towers imetoa vifaa vya kisasa vya maabara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) vyenye thamani…
Uingereza yawaondoa wafanyakazi wa ubalozi wake nchini Iran kutokana na ‘hali ya usalama’
“Kutokana na hali ya usalama, wafanyakazi wa Uingereza wameondolewa kwa muda kutoka Iran. Ubalozi wetu unaendelea kufanya kazi kwa njia ya video,” Wizara ya Mambo ya Nje imesema kwenye tovuti…
Moshi yapendekeza halmashauri mpya ya Vunjo
Dar es Salaam. Kikao maalumu cha ushauri (DCC) Wilaya ya Moshi kimepitisha mapendekezo mawili...
Iain Njiraini amwonya Sifuna, amtaka kufanya uamuzi wa Busara kuhusu miungano kabla ya 2027
Harakati za Edwin Sifuna za 2027 zimetikisa utaratibu wa kisiasa Kenya; licha ya utata katika ODM na mikutano ya kisiasa, anakabiliwa na changamoto kuhusu miungano.
#HABARI: Mradi wa maji katika Kijiji cha Nyani, Kata ya Mafizi, umefikia asilimia 70 ya utekelezaji, jambo lililomfanya Mbunge w…
#HABARI: Mradi wa maji katika Kijiji cha Nyani, Kata ya Mafizi, umefikia asilimia 70 ya utekelezaji, jambo lililomfanya Mbunge wa Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, kuonyesha kuridhishwa na kasi ya mkandarasi…
#HABARI: Serikali imetoa wito kwa wananchi waliokamilisha taratibu za mirathi na kupata haki zao kurejea mahakamani kufunga rasm…
#HABARI: Serikali imetoa wito kwa wananchi waliokamilisha taratibu za mirathi na kupata haki zao kurejea mahakamani kufunga rasmi mashauri hayo ili kupunguza mlundikano wa kesi zinazoonekana bado ziko wazi. Naibu…
Helios Towers boosts digital learning with 30m/- lab support
NYASA, RUVUMA: A state-of-the-art ICT laboratory has been launched at Tingi Secondary School in Nyasa District, Ruvuma Region, with Helios Towers supporting the facility with 30m/- worth of equipment through…
Jamaa wa Nandi aliyezuiliwa Myanmar amuanika wakala aliyemuahidi kazi Malaysia: “Nahitaji msaada”
Dennis Kosgei kutoka Nandi anaomba usaidizi kusafiri kutoka Myanmar baada ya wakala kumlaghai kuhusu kazi ya udereva nchini Malaysia, ambayo sasa imemtia taabani
Utunzi wa maua unavyomsaidia mlezi kukabiliana na sonona
Kazi ya kutoa huduma ya malezi kwa wagonjwa haswa nyumbani mara nyingi hutafsiriwa kuwa upendo, lakini nyuma ya pazia walezi wa muda mrefu hubeba mzigo mzito, na hata kukabiliwa na…
Gathoni Wamuchomba achekelea Muungano wa Upinzani baada ya ushindi wa UDA katika chaguzi ndogo
Mbunge wa Githunguri Gathoni Wamuchomba amechekelea Muungano wa Upinzani baada ya kubwagwa katika chaguzi ndogo nne ambapo chama cha UDA kilishinda kwa wingi.
NEC ya kufumua sekretarieti CCM yasogezwa
Taarifa za ndani ya chama hicho ambazo si rasmi zimebainisha kuwa kikao hicho kimesogezwa mbele...
UN yaonya kuhusu kudorora kwa hali ya usalama Sudan Kusini
Mkuu wa tume ya haki ya Umoja wa Mataifa Volker Turk ameonya kuhusu kudodrora kwa hali nchini Sudan Kusini, huku akitoa wito wa hatua ya haraka kuchukuliwa kuzuia taifa hilo…
Mashabiki wa Yanga wamefunga safari kutoka Songwe ambako ni lango kuu la SADC hadi Zanzibar kwenda kuipa nguvu timu yao kwenye …
Mashabiki wa Yanga wamefunga safari kutoka Songwe ambako ni lango kuu la SADC hadi Zanzibar kwenda kuipa nguvu timu yao kwenye mechi ya ‘Dabi’ ya Kariakoo dhidi ya Simba SC.…
2mbili avunja ukimya kuhusu mazishi ya mama ya Khalif Kairo, akana madai alipuuza
2mbili afunga biashara anadai kwamba hakuhudhuria mazishi ya mama yake Khalif Kairo. Pia alifichua mazungumzo aliyokuwa nayo na X bigwig kabla mama yake kufariki.
Monica Nyambura: Mama afunguka uchunguzi wa maiti ukionesha jinsi mwanamke wa Githurai aliuawa Kwake
Familia ya Monica Nyambura inalilia haki baada ya uchunguzi wa maiti kuthibitisha mauaji yake yalitokea maani Githurai 45.Kasi ya uchunguzi wa kifo chake inaongezeka
Mabasi mapya 100 ya mwendokasi kupelekwa Gongo la Mboto, Kimara Julai
Mabasi hayo 100 yanayotumia gesi na yenye kiyoyozi yamenunuliwa na Serikali kwa Sh20 billioni...
🔴HAPA NA PALE KUTOKA NJOMBE, FEBRUARI 27, 2026 –
🔴HAPA NA PALE KUTOKA NJOMBE, FEBRUARI 27, 2026 -
Rais William Ruto atatumia kiasi gani kufadhili safari ya Masagara, Idioty Uingereza
Rais Ruto atawadhamini mashabiki Kevin Masagara na Useful Idioty kutazama mechi za Ligi Kuu Old Trafford na Uwanja wa Emirates, huku gharama zikitajwa.
Makabiliano makali yaendelea kuripotiwa kati ya Afghanistan na Pakistan
Makabiliano makali ya kijeshi yameendelea kushuhudiwa kati ya nchi jirani za Afghanistan na Pakistan, kuanzia usiku wa kuamkia Ijumaa, na kuzua wasiwasi wa nchi hizo kuingia kwenye vita vya muda…
#HABARI: “Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amekuwa akisumbuliwa na maradhi ya mgogongo na moyo, kwa muda mrefu, ametibiwa hapa …
#HABARI: “Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amekuwa akisumbuliwa na maradhi ya mgogongo na moyo, kwa muda mrefu, ametibiwa hapa nchini na nchi nyingine ikiwemo Ujerumani, India na Marekani…” - Askofu Henry…
Ishu ya utovu wa nidhamu, mastaa wakaa upande wa Aucho
UJUMBE wa kiungo raia wa Uganda, Khalid Aucho, aliouchapisha katika ukurasa wake wa Instagram kupinga tuhuma za utovu wa nidhamu na kupewa adhabu ya kusimamishwa kwa miezi mitatu, umeibua hisia…
Migogoro ya ardhi yatikisa kliniki ya kusikiliza kero Shinyanga
Shinyanga. Zaidi ya wananchi 200 wa Tarafa ya Mjini, Manispaa ya Shinyanga, wametoa kero zao...
#VIDEO:” Tutamkumbuka kwa moyo wa ibada, sala hasa kwa Ekaristi Takatifu ambapo alipenda kushinda na Yesu mara nyingi
#VIDEO:" Tutamkumbuka kwa moyo wa ibada, sala hasa kwa Ekaristi Takatifu ambapo alipenda kushinda na Yesu mara nyingi... Aliishi maisha ya kifukara na hakupenda kabisa kujilimbikizia mali maana kila alichokipata…
Wavinya Ndeti: Vicheko huku gavana wa Machakos akijiuma ulimi akisoma Kiingereza
Gavana wa Kaunti ya Machakos Wavinya Ndeti amechekelewa mtandaoni baada ya video inayomuonyesha akihangaika na Kiingereza wakati wa Hotuba ya Kaunti kusambaa
Mahakama yatoa siku 30 kuanza majadiliano kesi ya wizi wa Sh364 milioni
Mladeno na Ndambile, wanakabiliwa na mashtaka sita yakiwamo ya kuongoza genge la uhalifu wa...
Serikali yafungua milango sekta binafsi kutoa huduma za maji
Serikali imefungua milango kwa sekta binafsi kutoa huduma ya maji ili kuleta ushindani na...
Tunisia: Kifungo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Ali Larayedh chapunguzwa
Mahakama ya rufaa nchini Tunisia, imepunguza kifungo cha aliyekuwa Wazriri Mkuu Ali Larayedh kutoka miaka 34 hadi 24 jela, baada ya kupatikana na kosa la ugaidi. Imechapishwa: 27/02/2026 – 15:13…
Tanzania’s next big leap in nuclear medicine should come from within — here is why
DAR ES SALAAM: Tanzania is taking healthcare very seriously. A universal health insurance (UHI) for all Tanzanians will soon become a reality — and the country is already considered the…
#VIDEO: Askofu Henry Mchamungu ambaye ni Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam akisoma wasifu wa aliyekuwa Askofu Mkuu M…
#VIDEO: Askofu Henry Mchamungu ambaye ni Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam akisoma wasifu wa aliyekuwa Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam Mwadhama…
Takukuru yawarejeshea wananchi Sh500,000 walizochangishwa kupata umeme
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Mbeya (Takukuru), imewarejeshea wananchi 20 wa...
Raia 55 wa Ghana wameuawa wakipigana nchini Ukraine
Raia wa Ghana wapatao 55, wameuawa wakipigana nchini Ukraine, huku wengine wakikamatwa na kufungwa kama wafungwa wa kivita. Imechapishwa: 27/02/2026 – 15:02Imehaririwa: 27/02/2026 – 15:08 Dakika 1 Wakati wa kusoma…
Othman: Mazungumzo kutafuta mwafaka Zanzibar yamepiga hatua
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema kuna hatua kubwa ya mafanikio kuhusu...
Zungu, Chungong sign deal to allow Tanzania host the IPU Assembly
DAR ES SALAAM: The Speaker of the National Assembly of the United Republic of Tanzania, Mussa Azzan Zungu, and the Secretary General of the Inter-Parliamentary Union (IPU), Martin Chungong, have…
Waislamu wasaidieni wenye uhitaji
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amewahimiza waumini wa dini ya Kiislamu kuwasaidia watu wasiojiweza hususan katika kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani…
Wapatiwa mafunzo kuhudumia watoto njiti
MWANZA: Wahudumu wa afya wanaotarajiwa kutoa huduma katika jengo jipya la watoto njiti lililopo Hospitali ya Wilaya ya Kwimba wamepatiwa mafunzo maalumu ya namna bora ya kutumia vifaa vya kisasa…
Wasifu uwepo wa jengo la watoto njiti Kwimba
MWANZA; Wanawake wawili wa wilayani Kwimba, mkoani Mwanza wamezungumzia changamoto walizopitia wakati wa kujifungua, wakilazimika kusafiri umbali mrefu kwa pikipiki wakiwa na uchungu hadi hospitalini na kujifungua watoto njiti. Happyness…
Bunge Tanzania kuandaa mkutano IPU 153
SPIKA wa Bunge Mussa Azzan Zungu na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Martin Chungong, leo Februari 27, 2026, wamesaini mkataba unaowezesha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa…
Tanzania tells the globe how effectively it uses its land, deals with land disputes
CARTAGENA: PRESENTATION of the recommendations on the effective use of land for agriculture and various steps taken to solve land-related conflicts and accelerate rural development, are the key issues discussed…
Itracom Fertilizers begins constructing new phosphate processing plant
BABATI: THE Itracom Fertilizers Limited’s phosphate mine in Vilima Vitatu, Babati District, Manyara Region, has launched construction of a new major processing plant to ramp up production of key raw…
Tanzania yaeleza utayari mwenyeji wa mkutano IPU Arusha
Bunge la Tanzania limetia saini makubaliano ya kuwa mwenyeji wa mkutano wa 153 wa Umoja wa...
Wanawake waitwa kupata msaada kuhusu ardhi
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imewaita wanawake wote kwenye kliniki maalumu...
BASATA launches Rising Award in a bid to promote music talents
DAR ES SALAAM: The National Arts Council of Tanzania (BASATA) has officially launched the Rising Star Award, a new programme aimed at identifying, nurturing, and promoting emerging music talents across…
Ndejembi set to grace the launch of major natural gas projects
MTWARA: THE MINISTER for Energy, Deogratius Ndejembi, has arrived in Mtwara Region to inspect and launch various natural gas projects, including the launch of a drilling exercise to increase natural…
Tanzania launches Samia Ardhi Kliniki heading to the Women’s Day
DAR ES SALAAM: AHEAD of International Women’s Day on March 8, 2026, the Ministry of Lands, Housing and Human Settlements Development has organized a special land clinic for women, known…
#HABARI: Wanawake wa Kata ya Iganzo jijini Mbeya, wamelalamika kubakwa na vijana wadogo ambao ni madereva wa Bajaji wa Kijiwe…
#HABARI: Wanawake wa Kata ya Iganzo jijini Mbeya, wamelalamika kubakwa na vijana wadogo ambao ni madereva wa Bajaji wa Kijiwe cha Kibaoni na kwa mama bunju, wakidai kuporwa mali zao,…
DPP amfutia kesi Tumaini aliyedaiwa vitu vya Sh1.5 bilioni
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemfutia kesi na kumuachia huru, mshtakiwa Tumaini Moshi (33)...
“….ukitazama Yanga Africans ni miongoni mwa Timu ambazo zimekuwa na ubora kwenye idara zote kuanzia kwenye eneo la Goal Keeping,…
“….ukitazama Yanga Africans ni miongoni mwa Timu ambazo zimekuwa na ubora kwenye idara zote kuanzia kwenye eneo la Goal Keeping, hakuna koli kipa bora kwa hivi sasa kwenye Ligi Kuu…
Aucho ajibu tuhuma za utovu wa nidhamu Singida BS
BAADA ya uongozi wa Singida Black Stars kutangaza kumsimamisha kwa miezi mitatu Khalid Aucho kwa tuhuma za utovu wa nidhamu na kuchelewa kazini, kiungo huyo raia wa Uganda, ameonekana kujibu…