Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Evalist iliyopo kata ya Nyarugusu pamoja na Shule ya Sekondari Lwamudasa wilayani Geit…
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Evalist iliyopo kata ya Nyarugusu pamoja na Shule ya Sekondari Lwamudasa wilayani Geita wameondokana na adha ya kutembea kwa miguu zaidi ya kilometa…
Man Fongo kutetea haki za wanawake watoto
MSANII wa singeli Man Fongo ameweka wazi kuwa anaandaa nyimbo zenye ujumbe maalum wa kutetea haki za Wanawake na Watoto dhidi ya ukatili wa kijinsia. The post Man Fongo kutetea…
Guardiola atoa maneno ya vitisho
Pep Guardiola ameapa kuwa Manchester City itaendelea “kupumua shingoni mwa Arsenal” baada ya...
Tunda la ufundishaji bora ni ujifunzaji bora
Hivi karibuni Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, ilizindua Mkakati wa Kisayansi wa...
Sauti za Busara 2027 kufanyika Machi
TAMASHA la Sauti za Busara linalofanyika kila mwezi Februari kwa mwaka 2027 litafanyika mwezi Machi ili kupisha mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani unaotarajiwa kuwa Februari. Mwenyekiti wa Tamasha hilo,…
Serikali yalipa deni trilioni 4/- PSSSF
SERIKALI imelipa madeni ya zaidi ya Sh trilioni 4.27 za watumishi yaliyokuwa yanadaiwa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF). Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF,…
Senegal: Watu Kumi na wawili wakamatwa kwa madai ya ushoga
Nchini Senegal, kesi inayohusisha ushoga na shutuma za kusambaza VVU kimakusudi imeibua hisia kali kwenye vyombo vya habari na kisheria. Wanaume kumi na wawili—wakiwemo watu wawili mashuhuri—wamekamatwa na polisi kwa…
Mbunge wa Zamani Ahusishwa na Wizi wa Gari la Kaunti ya Murang’a
Mbunge wa zamani kutoka kaunti ya Murang'a anazuiliwa na polisi kufuatia kukamatwa kwake na maafisa wa DCI kuhusiana na wizi wa magari katika kaunti hiyo.
Salif Keita ashindwa kutumbuiza Sauti za Busara
MWANAMUZIKI Mkongwe Salif Keita ameshindwa kufika Zanzibar na kutumbuiza katika Tamasha la Sauti za Busara 2026 kutokana na kuugua. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa tamasha hilo, Journey…
Ronaldo amaliza mgomo Al-Nassr
Cristiano Ronaldo amemaliza mgomo wake ndani ya Klabu ya Al-Nassr baada ya uongozi wa timu hiyo...
DRC: Félix Tshisekedi akutana na Joao Lourenço na Faure Gnassingbe nchini Angola
Rais wa Kongo amefanya ziara katika mji mkuu wa Angola, Luanda siku ya Jumatatu, Februari 9, ambapo alijadili mgogoro unaoigawanya mashariki mwa DRC na wenzake wa Angola na Togo. Wakati…
Nchimbi ahimiza mambo 3 ushirikiano vyuo, waajiri
MAKAMU wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi ameagiza mambo matatu ili kuhakikisha mpango wa ushirikiano kati ya vyuo na viwanda unatekelezwa kwa tija. Dk Nchimbi alitoa maagizo hayo wakati wa uzinduzi…
Treni 5 SGR kubeba mizigo bandarini Dar kwa siku
SERIKALI imetaja mikakati ya kupunguza msongamano wa makasha ndani ya Bandari ya Dar es Salaam ikiwemo kuongeza safari za Treni ya Kisasa (SGR) ya mizigo. Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame…
Mapitio ya #MAGAZETI leo Februari 10, 2026 kwenye
Mapitio ya #MAGAZETI leo Februari 10, 2026 kwenye #Moorning Trumpet #UTV108 #AzamTVUpdates
DRC: Watu 12 wafariki katika tukio la kuporomoka kwa mgodi wa chuma karibu na Kolwezi
Chini ya wiki mbili tu baada ya maporomoko ya ardhi katika mgodi wa madini ya coltan wa Rubaya katika mkoa wa Kivu Kaskazini, janga lingine kama hilo lilitokea mwishoni mwa…
Wazazi wanapogeuza shule ‘madampo’ kubwaga watoto
Wakati shule zilianzishwa ili kutoa elimu ya kitaaluma kwa watoto, hali imebadilika hivi sasa.
Thamani mifuko hifadhi ya jamii yafikia tril 24/-
SERIKALI imesema thamani ya mifuko ya hifadhi ya jamii imeongezeka kutoka Sh trilioni 10.43 mwaka 2020 hadi Sh trilioni 24.20 Desemba mwaka jana. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,…
Sudan: UM walaani ‘janga la kibinadamu ambalo lingeweza kuepukika’ El-Fasher
Ukatili uliofanywa huko El-Fasher, Sudan, mwezi Oktoba mwaka uliyopita ni “janga la kibinadamu ambalo lingeweza kuepukika,” Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametangaza siku ya Jumatatu,…
Kenya yapinga usajili wa raia wake katika jeshi la Urusi
Kenya inasema kuwa itazungumza na Urusi kuhusu ripoti zinazoongezeka kuwa raia wake wanasajiliwa kupigana vita nchini Ukraine, ikielezea kitendo hicho kama kisichokubalika.
Kenya: Mamilioni ya watu wakabiliwa na njaa kutokana na ukame, mifugo imeangamia
Hali ya ukame imesababisha zaidi ya watu milioni 2 kukabiliwa na njaa katika sehemu za Kenya, huku jamii za wafugaji kaskazini mashariki zikiwa zimeathiriwa zaidi, kulingana na Umoja wa Mataifa…
Utawala wa Iran hauwezi kuangushwa kwa shambulio la anga – Uturuki
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Hakan Fidan, alisema kuwa kwa maoni yake, serikali ya Iran “haitaangushwa kwa shambulio la anga, bali mfumo utadhoofishwa na huenda usiwe tena na…
Siri kufanikiwa mkakati wa KKK hii hapa
Mkakati huu si wa kawaida, bali ni wa aina yake kwa kuwa umejikita katika misingi ya kisayansi,...
Eritrea yafutilia mbali madai ya Ethiopia kuwa inahatarisha usalama wake
Eritrea imekanusha madai ya Ethiopia kuwa wanajeshi wake wapo katika nchi hiyo jirani, madai wanayosema ni ya uongo na yaliyotengezwa. Imechapishwa: 10/02/2026 – 04:59 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo…
Mkuu wa Operesheni za kikosi cha UM cha kulinda amani ziarani DRC kuthathmini hali ya amani
Mkuu wa Operesheni za kikosi cha Umoja wa Mataifa cha kulinda amani Pierre Lacroix, ameanza ziara ya siku tatu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Imechapishwa: 10/02/2026 – 04:53 Dakika…
Israel yaidhinisha hatua za kupanua mamlaka yake katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa
Baraza la Mawaziri nchini Israel, limepitisha hatua za kuchukua maeneo zaidi na kutawala katika Ukingo wa Magharibi inayokalia kimabavu. Imechapishwa: 10/02/2026 – 04:47 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya…
Tetesi za soka Ulaya Jumanne: Cristiano Ronaldo kusitisha mgomo wake Saudia
Cristiano Ronaldo anatazamiwa kurejea Saudi Arabia, mabadiliko katika chumba cha baraza la Barcelona huenda yakaamua iwapo Marcus Rashford atasalia Uhispania, na Zinedene Zidane huenda akarejea Real Madrid.
Lavrov: Kadhia ya Epstein imedhihirisha sura halisi ya ‘kuabudu shetani’ ya watu mashuhuri wa Magharibi
Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema, mtindo mchafu wa maisha wa mfadhili na mhalifu wa vitendo vya ngono wa Marekani Jeffrey Epstein pamoja na tapo lake…
Lavrov: Kadhia ya Epstein imedhihirisha sura halisi ya ‘kuabudu shetani’ ya watu muhimu wa Magharibi
Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema, mtindo mchafu wa maisha wa mfadhili na mhalifu wa vitendo vya ngono wa Marekani Jeffrey Epstein pamoja na tapo lake…
Lavrov: Kadhia ya Epstein imedhihirisha sura halisi ya ‘ushetani’ ya watu muhimu wa Magharibi
Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema, mtindo mchafu wa maisha wa mfadhili na mhalifu wa vitendo vya ngono wa Marekani Jeffrey Epstein pamoja na tapo lake…
Siku 100 za Rais Samia zenye uzuri wa simanzi
Makala hii haizitazami siku 100 hizi kwa macho ya sifa wala lawama, bali kwa mizani ya uhalisia. Ni jaribio kuelewa kwa nini siku 100 za Rais Samia zinaweza kuitwa zenye…
Jumanne, 10 Februari, 2026
Leo ni Jumanne tarehe 21 Sha'ban 1447 Hijria, sawa na tarehe 10 Februari 2026.
Kuungana makundi ya Kipalestina dhidi ya njama za utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi
Makundi ya mapambano ya ukombozi ya Palestina yamesisitiza ulazima wa kukabiliana na mipango ya Wazayuni wenye misimamo mikali katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Rais Pezeshkian: Mazungumzo ya Iran na Marekani ni ‘fursa nzuri’ ya kutatua suala la nyuklia
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kuwa mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Marekani na Iran yanatoa fursa nzuri ya kufikia suluhu “inayoridhisha pande zote ” kuhusu suala…
Zambia yaripoti visa 20 vipya vya kipindupindu ndani ya saa 24
Zambia imeripoti visa 20 vipya vya kipindupindu katika kipindi cha saa 24 zilizopita hadi Jumatatu, huku mji mkuu Lusaka ukichangia visa 11 kati ya hivyo.
Somalia: Israel kuitambua ‘Somaliland’ ni ukiukaji wa sheria za kimataifa
Serikali ya Somalia imeendelea kukosoa vikali uamuzi wa utawala haramu wa Israel wa kutambua kama nchi eneo la Somalia lililojitenga na kujiita Somaliland, ikisema kuwa hatua hiyo ni ukiukaji wa…
Watu 21 wauawa katika hujuma ya waasi wa ADF nchini DRC
Takriban watu 21 wameuawa katika shambulio la hivi karibuni linalohusishwa na waasi wa Allied Democratic Forces (ADF) mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), afisa mmoja amesema Jumatatu.
Huyu naye kaharibu mipango
Huyu naye kaharibu mipango (Feed generated with FetchRSS)
MKUTANO MKUU CAF KUFANYIKA TANZANIA: Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema kufanyika kwa Mkutano M…
MKUTANO MKUU CAF KUFANYIKA TANZANIA: Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema kufanyika kwa Mkutano Mkuu wa CAF, katika ardhi ya Tanzania, itasaidia kupata ushirikiano kati ya…
MASHABIKI AZAM FC: “Tunakwenda kumuua Wydad, tupo zetu robo fainali”
MASHABIKI AZAM FC: “Tunakwenda kumuua Wydad, tupo zetu robo fainali” Mashabiki Azam FC hawana wasiwasi juu ya timu yao kutinga robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC). Shabiki mwingine…
Simulizi ya Isrey Athuman, binti mwenye miaka 26 ambaye ameishi na kifafa kwa zaidi ya miaka 10
Simulizi ya Isrey Athuman, binti mwenye miaka 26 ambaye ameishi na kifafa kwa zaidi ya miaka 10. Takwimu zinaonyesha kuwa takriban watu milioni 50 duniani kote wanaishi na ugonjwa wa…
Wazazi wa wanafunzi wa shule ya msingi Buyuni, iliyopo wilayani Chakechake, Pemba, wameiomba Wizara ya Elimu kuwabadilishia mwal…
Wazazi wa wanafunzi wa shule ya msingi Buyuni, iliyopo wilayani Chakechake, Pemba, wameiomba Wizara ya Elimu kuwabadilishia mwalimu mkuu wa shule hiyo kwa madai kuwa hana ushirikiano na wazazi na…
#HABARI: Mchungaji Rose Masesa, dada mkubwa wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amemuomba Rais Dkt
#HABARI: Mchungaji Rose Masesa, dada mkubwa wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amemuomba Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuangalia upya kesi ya uhaini inayomkabili mdogo wake. Akizungumza leo Februari…
SIMBA SC: “Mashabiki wetu wasiingie kwenye malumbano”
SIMBA SC: “Mashabiki wetu wasiingie kwenye malumbano” Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally amewaomba mashabiki wa timu hiyo kuwa watulivu nyakati hizi ili kikosi hicho kiweze kufanya…
MASHABIKI SIMBA: “Alikuwa amechelewa kuja Simba”
MASHABIKI SIMBA: “Alikuwa amechelewa kuja Simba” Mashabiki wa Simba waonesha kukoshwa na viwango vya wachezaji wao wapya waliowasajili katika kipindi cha dirisha dogo. Mashabiki hao wanasema wanamsubiri kwa hamu nyota…
Afrika Kusini imetangaza uamuzi mzito wa kisera na kiusalama, kuanza kuwaondoa wanajeshi wake waliokuwa wakihudumu chini ya ujum…
Afrika Kusini imetangaza uamuzi mzito wa kisera na kiusalama, kuanza kuwaondoa wanajeshi wake waliokuwa wakihudumu chini ya ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya…
Wahenga walishasema wivu ni kidonda😂😅
Wahenga walishasema wivu ni kidonda😂😅 #AzamTWO (Feed generated with FetchRSS)
Tafiti zinaonyesha kuwa matokeo duni ya mwanafunzi ni dalili ya changamoto zilizoanza mapema, wakati wa kumjengea maarifa ya msi…
Tafiti zinaonyesha kuwa matokeo duni ya mwanafunzi ni dalili ya changamoto zilizoanza mapema, wakati wa kumjengea maarifa ya msingi. Ili taifa lipate mafanikio ya kweli, ni lazima kuwekeza sasa katika…
🔴#DAKIKA45 NA HASSAN SAID – MKURUGENZI MKUU REA …..FEBRUARI 09, 2026
🔴#DAKIKA45 NA HASSAN SAID - MKURUGENZI MKUU REA .....FEBRUARI 09, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
Ikiwa leo ni siku ya kwanza tangu kuzinduliwa kwa Soko la Kariakoo na Rais Samia Suluhu Hassan, wafanyabiashara wamekuwa na heka…
Ikiwa leo ni siku ya kwanza tangu kuzinduliwa kwa Soko la Kariakoo na Rais Samia Suluhu Hassan, wafanyabiashara wamekuwa na hekaheka za kujipanga kuingia na kufanya shughuli zao. Katika hatua…