Mwanawe gaddafi kuzikwa Ijumaa kusini mwa Tripoli
Seif al-Islam Gaddafi, mtoto wa kiongozi wa zamani wa Libya Muammar Gaddafi atazikwa kesho Ijumaa katika mji mmoja kusini mwa Tripoli ambao bado ni mtiifu kwa familia ya Gaddafi.
Jeshi la Marekani na Urusi kuanzisha tena mawasiliano
Jeshi la Marekani limesema kuwa Washington na Moscow zimekubaliana kuanzisha tena mazungumzo ya ngazi ya juu kati ya majeshi yao.
CAFCC: “Lazima tukaweke historia pamoja”
CAFCC: “Lazima tukaweke historia pamoja” Katibu wa Mashabiki wa Azam FC, Ahmed Jobenyo ametoa wito kwa mashabiki wa timu hiyo kuwasiliana nae ili kupata maelekezo ya namna gani wanaweza kwenda…
Ukosefu wa chakula waenea El-Fasher huku makamanda wa RSF wa
Ukosefu wa chakula unaenea katika maeneo mawili zaidi ya jimbo la Darfur Kaskazini huko Sudan.
Mazungumzo ya Abu Dhabi yaendelea kwa kusuasua
Mazungumzo ya amani kati ya Urusi na Ukraine, yanayosimamiwa na Marekani, yameendelea kwa siku ya pili leo katika mji mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu, Abu Dhabi.
ZANZIBAR KASKAZI CUP 2026: Katibu Mkuu wa Wizara ya Utalii Zanzibar, Aboud Suleiman Jumbe amesema serikali imekuwa ikishirikian …
ZANZIBAR KASKAZI CUP 2026: Katibu Mkuu wa Wizara ya Utalii Zanzibar, Aboud Suleiman Jumbe amesema serikali imekuwa ikishirikian vema na sekta binafsi kuhakikisha inautangaza mchezo wa vishada na kuimarisha mfumo…
Katibu wa Kamati ya Uhusiano na Uenezi wa Shirikisho la Wachimbaji wa Madini Tanzania (FEMATA), Mess Chengula, amesema mpango wa…
Katibu wa Kamati ya Uhusiano na Uenezi wa Shirikisho la Wachimbaji wa Madini Tanzania (FEMATA), Mess Chengula, amesema mpango wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) wa kuuza sehemu ya akiba…
Upatikanaji chenji za Sh100, Sh200 kunavyowatesa wafanyabiashara
Huko mtaani kumekuwa na malalamiko kuhusu upatikanaji wa sarafu za Sh100 na Sh200, hali...
Sababu kukithiri kero ya foleni External Dar
Wananchi na madereva wanaotumia barabara eneo la External jijini Dar es Salaam wamelalamika...
Ukraine na Urusi zabadilishana wafungwa
Ukraine na Urusi zimebadilishana zaidi ya wafungwa 300 leo kufuatia mazungumzo huko Abu Dhabi.
TANZANIA PRISONS vs MASHUJAA FC: Kocha msaidizi wa Mashujaa FC, Charles Fred amesema kikosi cha timu hiyo kinaendelea mazoezi kw…
TANZANIA PRISONS vs MASHUJAA FC: Kocha msaidizi wa Mashujaa FC, Charles Fred amesema kikosi cha timu hiyo kinaendelea mazoezi kwa ajili ya kuikabili Tanzania Prisons kwenye mchezo wa NBC Premier…
Kansela Merz aitaka Iran iwe na nia ya kupata mwafaka Oman
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz Alhamis amepuuzilia mbali ukosoaji mkali kutoka kwa waziri wa mambo ya kigeni wa Iran, akisema hilo linaonesha wasiwasi ilionao Tehran.
Serikali kuboresha mtandao wa simu intaneti eneo la Kariakoo
Wakati wachuuzi katika soko la Kariakoo na wafanyabiashara wakipaza sauti zao kutaka maboresho...
Alfajiri Kumi- Sekta ya afya ya Iran kabla na baada ya Mapinduzi
Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika sehemu nyingine ya vipindi maalumu vinavyokujieni kwa mnasaba wa siku hizi za maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran. Kipindi chetu kinazungumzia…
Mkataba wa New START kati ya Marekani na Urusi wamalizika
Mkataba wa mwisho uliosalia wa kudhibiti silaha za nyuklia kati ya Urusi na Marekani umemalizika rasmi leo Alhamisi, hatua inayofuta mipaka yote ya idadi ya silaha za nyuklia kwa mataifa…
Ndani ya siku mia za uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt
Ndani ya siku mia za uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Serikali imefanikiwa kuwasha umeme katika kata ya Mlima wa Uluguru, Manispaa ya…
Tahadhari ya mvua kubwa mikoa sita, wananchi watahadhirishwa
Takribani mikoa sita nchini inayopata mvua mara mbili kwa mwaka, ukiwamo Dar es Salaam...
Ripoti: Kuzimwa kwa intaneti kunazidi kuwa silaha ya kisiasa
Kampuni ya teknolojia ya Proton inasema kuzimwa kwa intaneti kunazidi kuwa silaha ya kisiasa, baadhi ya serikali zikitumia fursa hiyo kuimarisha mifumo ya udhibiti, uchujaji wa taarifa na kupambana na…
THRDC NA MAIPAC yawapika waandishi wa Habari za mazingira
Waandishi wa habari 35 kutoka mikoa ya Kanda ya Kaskazini na Kati wameanza kupatiwa mafunzo ya...
CCM kutoa elimu kwa wanachama wake kujiimarisha
Chama cha Mapinduzi (CCM) kinatarajia kuanza kutoa elimu kwa wanachama wake nchi nzima ili...
Nactvet yabaini changamoto mfumo wa udahili, ucheleweshaji matokeo
Katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050, Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na...
Vikundi 130 Makambako vyakopeshwa Sh1 bilioni
Halmashauri ya Mji wa Makambako mkoani Njombe imetoa mikopo zaidi ya Sh1.042 bilioni kwenye...
Mwigulu akabidhi hundi ya Bil 200/-kuwezesha wanawake, vijana
WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba akimkabidhi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Joel Nanauka, hundi ya sh bilioni 200 ambazo ni ahadi ya Rais Samia Suluhu Hassan…
KUTOKA ANGOLA: Umekuwa ukisikia watangazaji mbalimbali wa #AzamTV wakiita timu ya taifa ya Angola “Palancas negras”
KUTOKA ANGOLA: Umekuwa ukisikia watangazaji mbalimbali wa #AzamTV wakiita timu ya taifa ya Angola "Palancas negras" Katika kupata ufafanuzi wa hilo mtangazaji @mangasore_ ambaye yupo Angola kwa ajili ya mechi…
Utajiri wa Afrika: Takienta, nyumba maalumu za udongo nchini Togo
Upekee wake ni kwamba nyumba hizi zimejengwa katika muundo wa kasri na zinaonekana kama ghorofa ndogo.
Abdulla ahimiza usimamizi wa maadili kwa vijana
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla ameitaka jamii kuendelea kusimamia...
Health at risk as illicit alcohol costs over 1tri/-
DAR ES SALAAM: Illicit alcohol continues to pose a significant threat to public health, government revenue, and legitimate businesses in Tanzania. A new study reveals that 61 percent of all…
AFCON 2027 YAPAMBA MOTO: “Tunaunda kamati saba”
AFCON 2027 YAPAMBA MOTO: “Tunaunda kamati saba” Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Amos Makalla amezungumzia maendeleo ya ujenzi wa uwanja wa #AFCON Arusha huku akifafanua majukumu ya kamati saba ambazo…
‘Mchango’ yazinduliwa kurahisisha usimamizi wa michango nchini
Wakati familia zinapokabiliwa na dharura za kiafya, jamii inapoandaa shughuli za misiba, au...
Watu wasioweza kugharamia matibabu ya NCDs kutambuliwa
Wakati Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan ikiadhimisha siku 100 za uongozi, wananchi...
Klabu ya Simba imetoa onyo kali kwa watu waliotumia nembo za wadhamini wake bila ruhusa katika mkutano binafsi ambao haukutambul…
Klabu ya Simba imetoa onyo kali kwa watu waliotumia nembo za wadhamini wake bila ruhusa katika mkutano binafsi ambao haukutambuliwa rasmi na klabu. Uongozi wa Simba umeeleza kusikitishwa na hatua…
Wajuzi wa masuala ya maendeleo binafsi wanashauri kuwa ili kufanikisha malengo yako, ni muhimu kuwa na watu watakaokusaidia kuso…
Wajuzi wa masuala ya maendeleo binafsi wanashauri kuwa ili kufanikisha malengo yako, ni muhimu kuwa na watu watakaokusaidia kusonga mbele katika maisha. Vijana wengi wanaita hilo “connection,” yaani mtandao wa…
KUTOKA ANGOLA: Simba bado inahitaji alama tatu, licha ya kuwa na matumaini finyu kwenye kundi lake
KUTOKA ANGOLA: Simba bado inahitaji alama tatu, licha ya kuwa na matumaini finyu kwenye kundi lake. Hayo yamesemwa na Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally jana wakati…
Watu wanaodaiwa kuwa majambazi wamemjeruhi kwa kumpiga risasi mkazi wa Sogea mjini Tunduma, wilayani Momba, Yengo Mwapina, na ku…
Watu wanaodaiwa kuwa majambazi wamemjeruhi kwa kumpiga risasi mkazi wa Sogea mjini Tunduma, wilayani Momba, Yengo Mwapina, na kumpora kiasi cha Shilingi milioni 54 akiwa njiani kutokea benki. Kwa mujibu…
Utafiti: Pombe, Sigara vinachangia ongezeko la ugonjwa wa saratani Kenya
Shirika la habari za afya la Willow limetangaza kuuwa, vidonda vya tumbo, uvutaji wa sigara, na matumizi ya pombe vinachangia kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa ugonjwa wa saratani nchini Kenya.
Epstein’s help sought in bid to meet Chuck Schumer, files reveal
USA: AN associate of the United States Virgin Islands’ sole representative in the US Congress asked Jeffrey Epstein for help to arrange a meeting between the politician and Senate Minority…
Baresi asuka bomu la washambuliaji KMC
KOCHA wa KMC, Abdallah Mohamed 'Baresi', baada ya kupata ushindi wa kwanza na timu hiyo tangu ajiunge nayo, Desemba 30, 2025, akichukua nafasi ya Mbrazil Marcio Maximo, amesema malengo yaliyopo…
TANZANIA PRISONS vs MASHUJAA FC: “Ni jambo la kuhuzunisha haifurahishi…”
TANZANIA PRISONS vs MASHUJAA FC: “Ni jambo la kuhuzunisha haifurahishi…” Kocha mkuu wa Tanzania Prisons, Zedekiah Otieno amesema hawafurahishwi na matokeo ya hivi karibuni hasa katika mechi za ugenini, amesema…
Mafaili ya Epstein ni jehanamu ya Trump na wenzake?
Matajiri wakubwa wa ulimwengu, wanasiasa wenye nguvu kubwa ya ushawishi na wanaoweza...
Mechi za kijiuliza Ligi Kuu Bara
IJUMAA hii, kuna mechi mbili za Ligi Kuu Bara zinapigwa zikikutanisha timu ambazo hazina matokeo mazuri ziliposhuka dimbani hivi karibuni, hivyo zinatumia kujirekebisha ili kupanda kutoka zilipo kwenye msimamo.
Naibu Waziri wa Maji Mhe
Naibu Waziri wa Maji Mhe. Mhandisi Kundo Mathew (Mb), amesema serikali imetenga jumla ya shilingi Bilioni 9.167 kulipa fidia kwa wananchi wa eneo la Mindu, Manispaa ya Morogoro, waliopisha ujenzi…
PPP experts prepare draft guidelines to manage budgetary support for 2025-26
DAR ES SALAAM: EXPERTS from the Public-Private Partnership (PPP) Unit of the Ministry of Finance, in collaboration with the Public-Private Partnership Centre (PPPC), together with specialists from the Ministry of…