Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka (Dart) ametangaza kurejeshwa kwa shughuli za usafirishaji kwa barabara ya Morogoro kuanzia kituo kikuu cha Ubungo kwenda Kivukoni gerezani na Muhimbili.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka (Dart) ametangaza kurejeshwa kwa shughuli za usafirishaji kwa barabara ya Morogoro kuanzia kituo kikuu cha Ubungo kwenda Kivukoni gerezani na Muhimbili.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi