Hotuba ya Krismasi: Rais wa Ujerumani aelezea matumaini
Rais wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier katika hotuba yake ya Krismasi mnamo Desemba 24 ameangazia umuhimu wa jamii, mawasiliano na ushirikiano na amewataka Wajerumani washirikiane na kusaidiana katika nyakati ngumu.
Wanane kortini wakidaiwa kuingiza bangi kutoka Malawi
Watu wanane wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka moja la...
NGOs zatakiwa kufikisha fedha za misaada kwa walengwa
KIGOMA; TAASISI zisizo za kiserikali mkoani Kigoma zimeomba fedha kwa wahisani ili kusaidia jamii zenye uhitaji zimetakiwa kuhakikisha misaada ya fedha na vitu mbalimbali vinavyoombwa vinawafikia wahitaji. Kiongozi wa wanajadi…
Zakaria amalizana na Mashujaa mapema
BAADA ya Mwanaspoti kuripoti beki wa kati wa Mashujaa, Abdulmalik Zakaria yupo mbioni kujiunga na Singida Black Stars, mwenyewe amefichua ni kweli ameshamalizana na maafande wa Mashujaa na kwamba mipango…
Baresi aanza na washambuliaji KMC
KOCHA Mkuu wa KMC, Abdallah Mohamed ‘Baresi’ amesema timu haiwezi kufunga bila ya kuwa na washambuliaji wenye ubora wa kuona lango, hivyo mpango wa kwanza ndani ya timu hiyo ni…
Baada ya miezi minane chuma kimerudi Azam
BAADA ya kiungo wa Azam, Adolf Mtasingwa kukaa nje ya uwanja kwa takribani miezi minane akiuguza majeraha ya kifundo cha mguu, nyota huyo amerejea na kuungana na wachezaji wenzake, ikiwa…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA KIGOMA- DISEMBA 24, 2025
🔴HAPA NA PALE KUTOKA KIGOMA- DISEMBA 24, 2025
Neno uzalendo linavyozua mjadala
Upi uzalendo kati ya kukosoa au kuwa mtii kwa Serikali na mamlaka Ndilo swali linaloibua...
#MICHEZO: Simba sasa ipo chini ya kocha mpya Steve Barker ambaye ametokea klabu ya Stellenboch ya Afrika Kusini
#MICHEZO: Simba sasa ipo chini ya kocha mpya Steve Barker ambaye ametokea klabu ya Stellenboch ya Afrika Kusini. Na moja ya jambo linasubiriwa kwa hamu atamtumiaje mchezaji Mourice Abraham ambaye…
#HABARI: Watu 14 wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi la abiria na Lori, baada ya magari hayo kugongana uso kwa uso leo D…
#HABARI: Watu 14 wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi la abiria na Lori, baada ya magari hayo kugongana uso kwa uso leo Disemba 24, 2025, katika eneo la Magubike, Wilaya ya…
#HABARI: Mkuu wa Kitengo cha Usalama barabarani Wilaya ya Shinyanga ASP Zainabu Ally Mangala, amewataka madereva na watumiaji wa…
#HABARI: Mkuu wa Kitengo cha Usalama barabarani Wilaya ya Shinyanga ASP Zainabu Ally Mangala, amewataka madereva na watumiaji wa barabara kuzingatia sheria za usalama barabarani, katika msimu huu wa sikukuu…
Taifa Stars ina kitu, hesabu zipo Uganda
HAIKUWA kinyonge. Nigeria wenyewe wameukubali mziki wa Taifa Stars katika mechi ya kwanza ya fainali za mataifa ya Afrika huko Morocco kwa namna ilivyotoa upinzani licha ya kikosi cha Super…
WAZIRI KATIMBA- WENYE CHANGAMOTO ZA MIRATHI WATUMIE RITA
WAZIRI KATIMBA- WENYE CHANGAMOTO ZA MIRATHI WATUMIE RITA Serikali imezitaka jamii zenye changamoto ya usimamizi wa mirathi kutoa taarifa kwa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) ili kupata mwongozo…
Malawi: Wamalawi waghadhabishwa na ziara ya makamu wa rais nchini Uingereza
Hasira inaongezeka nchini Malawi kufuati ziara ya wiki mbili ambayo mmoja wa makamu wa rais wa nchi hiyo anatarajia kufanya nchini Uingereza baada ya msimu wa likizo. Imechapishwa: 24/12/2025 –…
Papa Leo XIV kuongoza misa ya kwanza Krismasi
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV, anatarajiwa kuongoza Misa yake ya kwanza ya Krismasi katika Basilika ya Mtakatifu Petro, mjini Vatican, usiku wa Krismasi. Inatarajiwa kuwa katika ibada…
Somalia: UNSC yaongeza muda wa AUSSOM kwa mwaka mmoja
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeidhinisha siku ya Jumanne muda wa mwaka mmoja wa ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia, na kuuongeza hadi mwisho…
Ujenzi wa Bwawa kubwa la kilimo cha umwagiliaji la Mkomazi lililopo kijiji cha Manga Mtindiro, Wilaya ya Korogwe, Tanga umefikia…
Ujenzi wa Bwawa kubwa la kilimo cha umwagiliaji la Mkomazi lililopo kijiji cha Manga Mtindiro, Wilaya ya Korogwe, Tanga umefikia asilimia 85. Kukamilika kwa Bwawa hilo linalojengwa na Tume ya…
Klabu ya JKT Tanzania inayoshiriki Ligi kuu ya NBC leo imeshirikia katika zoezi la upimaji macho kwa wachezaji na viongozi wa be…
Klabu ya JKT Tanzania inayoshiriki Ligi kuu ya NBC leo imeshirikia katika zoezi la upimaji macho kwa wachezaji na viongozi wa bechi la ufundi kwa lengo la kuwaweka wachezaji katika…
Papa Leo XIV aitaka Dunia kusitisha mapigano Krismasi
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV, ametoa wito wa kusitisha mapigano kwenye maeneo yenye migogoro duniani wakati wa Sikukuu ya Krismasi. The post Papa Leo XIV aitaka Dunia…
UCHAMBUZI WA MJEMA: 2026 uwe mwaka wa kuondoa chuki, maridhiano ya kitaifa
Ukweli una sifa moja tu, kwamba hata ukiukataa, haugeuki kuwa uongo. Hivyo hakuna ubishi kuwa...
Kardinali Pengo kupelekwa India kwa matibabu
Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Dar es Salaam, Taddeus Ruwa’ichi, ametangaza kuugua kwa Askofu...
Uamuzi wa utawala wa Trump wa kusitisha ulinzi kwa wahamiaji wa Sudan Kusini wapingwa
Watetezi wa haki za wahamiaji wamewasilisha kesi ya kupinga uamuzi wa utawala wa Trump mwezi uliopita wa kusitisha Ulinzi wa muda dhidi ya Uhamishaji (TPS) kwa zaidi ya raia 200…
Nchi za kijeshi Afrika zazindua televisheni, Kapteni Traole anukia kuongoza AES
Muungano wa Nchi za Sahel (AES) unaendelea kuchukua hatua mpya kuelekea kujitegemea kikanda...
Dodoma wahamasishwa kuchangamkia malipo kwa simu
Kampuni ya huduma za kifedha kwa njia ya simu, Mixx, imewaomba wakazi wa Dodoma kuendelea...
Pakistan yapinga vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Iran katika faili la nyuklia
Mwakilishi wa Pakistan katika Umoja wa Mataifa amepinga vikali vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Iran katika faili la nyuklia.
Mashirika yasiyo ya kiserikali ya Kenya yana wasiwasi kuhusu hali ya kisiasa nchini Uganda
Nchini Kenya, mashirika ya kiraia yanatoa tahadhari kuhusu kuimarishwa kwa hatua za usalama wakati wa vipindi vya uchaguzi katika eneo hilo, Baada ya ukandamizaji mkali dhidi ya maandamano wakati wa…
Wananchi 700 Kulipwa Fidia Sh Bil 35 Pangani
ZAIDI ya wananchi 700 kutoka kaya 234 katika vijiji vitano vya wilaya ya Pangani, mkoani Tanga, wanatarajiwa kulipwa fidia ya Sh bilioni 35 kupisha utekelezaji wa mradi wa mchanga mzito…
Mradi kutoa uhakika wa maji saa 24 Tanga
TANGA: Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Tanga (TangaUWASA) imesema mradi wa hatifungani ya kijani unatarajiwa kukamilika Machi 2026. Mradi huo utawapa wakazi wa mkoa huo uhakika wa majisafi…
AFCON 2025: Burkina Faso kupepetana na Equatorial Guinea
Burkina Faso na Equatorial Guinea zinapepetana kwa sasa Desemba 24 kwa mechi ya kwanza ya hatua ya makundi ya Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2025 katika Uwanja wa Mohammed…
Mradi wa maji kunufaisha wananchi 10,000 Bonde la Usangu
Zaidi ya wananchi 10,000 kutoka vijiji 45 katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, Mkoa wa...
Kasekenya atoa siku 10 ufumbuzi barabara, madaraja Ileje
NAIBU Waziri wa Ujenzi Eng. Godfrey Kasekenya ameutaka Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), kuja na mpangokazi unaotekelezeka utakaowezesha ujenzi wa barabara na madaraja wilayani Ileje kukamilika kwa wakati. Amesema…
Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya imetoa hundi ya shilingi milioni 485,765,000 kwa vikundi 15 vya wanawake, vijana na walemavu ikiw…
Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya imetoa hundi ya shilingi milioni 485,765,000 kwa vikundi 15 vya wanawake, vijana na walemavu ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mpango mkakati wa Serikali kuyafikia…
#HABARI:Wafanyabiashara wote wanaojihusisha na biashara ya maziwa nchini wametakiwa kuhakikisha wanajisajili na Bodi ya Maziwa T…
#HABARI:Wafanyabiashara wote wanaojihusisha na biashara ya maziwa nchini wametakiwa kuhakikisha wanajisajili na Bodi ya Maziwa Tanzania (TDB) ili kupata idhini ya kisheria ya kuendesha shughuli hizo. Hayo yamesemwa na Msajili…
Changamoto ya bidhaa kubaki dukani imeendelea kuwa tatizo kubwa kwa wafanyabiashara wengi, hususan wale wanaouza bidhaa za msimu
Changamoto ya bidhaa kubaki dukani imeendelea kuwa tatizo kubwa kwa wafanyabiashara wengi, hususan wale wanaouza bidhaa za msimu. Katika mjadala wa kitaalamu uliohusu biashara na uchumi, mfanyabiashara pamoja na mchambuzi…
FAO: Biashara na uzalishaji wa bidhaa za misitu duniani ziliimarika 2024
Baada ya kushuka kwa kasi mwaka 2023, sekta ya bidhaa za misitu duniani imeanza kuonesha dalili za kuimarika mwaka 2024, hii ni kwa mujibu wa ripoti mpya ya Takwimu na…
Katika Siku ya Kimataifa Dhidi ya Uhalifu Mtandaoni UN yaonya kuhusu ongezeko la uhalifu huo
Dunia inapoadhimisha Siku ya Kimataifa Dhidi ya Uhalifu wa Mtandaoni leo tarehe 24 Desemba, Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kupambana na Dawa za Kulevya na Uhalifu UNODC imeonya kuwa…
Gaza: Uhaba wa vifaa tiba unawatesa wagonjwa
Ingawa vita vimekoma huko Ukanda wa Gaza lakini madhila bado yanawasibu wapalestina, mathalani mtoto Sama Abu Ajwa mwenye umri wa miezi minane amelazwa hospitali lakini matumaini ni madogo kutokana na…
WHO: Pombe yasababisha kifo cha mtu 1 kati ya 3 barani Ulaya kutokana na majeraha
Mtu mmoja kati ya watatu wanaokufa kutokana na majeraha na vurugu katika Ukanda wa Ulaya wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa Duniani WHO, hufa kwa sababu ya pombe.
UNICEF na wadau wafanikisha kampeni ya chanjo ya Mpox katika kaunti ya Mombasa – Kenya
Serikali ya Kaunti ya Mombasa kwa kushirikiana na shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia watoto, UNICEF, kupitia ufadhili wa Mastercard Foundation na Latter-day Saints, imezindua kampeni ya kutoa chanjo…
Mkuu wa UN atoa wito wa uchaguzi wa amani na jumuishi CAR
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres leo ametoa wito kwa raia wote wa Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR, kushiriki kikamilifu katika uchaguzi ujao wa nchi hiyo, akisisitiza…
Madaba develops to become a hub for high-productivity agriculture
RUVUMA: MADABA District is on course to become a hub for modern, high-productivity agriculture through strategic investment that is driving economic transformation, job creation and improved food security for residents…
BRICS Bank gets $1B lift from Indonesia, fueling De-Dollarization
BRAZIL: Indonesia has allocated $1 billion to the New Development Bank, and this marks a significant step for Southeast Asia’s largest economy in its engagement with the BRICS bloc. The…
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed, ameagiza zao la soya litumike kikamilifu katika mpango wa chakula m…
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed, ameagiza zao la soya litumike kikamilifu katika mpango wa chakula mashuleni kama njia ya kupunguza udumavu na kuboresha afya ya…
Libya’s army chief killed in air crash in Turkey
TURKEY: The Libyan army chief has been killed in an air crash in Turkey, Libya’s prime minister has said. Gen Mohammed Ali Ahmed al-Haddad was on board a Falcon 50…
Wabunge 150 wa Iran walaani chokochoko za Marekani nchini Venezuela
Kundi la wabunge 150 wa Iran limeilaani vikali Marekani kwa chokochoko zake huko Venezuala na kuzuia meli za mafuta katika Bahari ya Karibi, likisema kuwa vitendo hivyo vya Washington ni…
Ujumbe wa Libya wawasili Ankara, Uturuki kufuatilia kifo cha Mkuu wa Jeshi
Ujumbe wa Libya leo Jumatano umewasili Ankara, Uturuki kufanya uchunguzi kuhusu ajali ya ndege binafsi iliyowaua maafisa wakuu wa jeshi la Libya akiwemo Mkuu wa Jeshi wa nchi hiyo, Luteni…
Australia to deport British man charged with displaying Nazi symbols
UK: A British national in Australia has had his visa cancelled and faces deportation for allegedly displaying Nazi symbols. The 43-year-old man living in Queensland was arrested and charged earlier…
Wazayuni wajigamba kwa kuishambulia kijeshi Qatar
Waziri mmoja wa utawala wa Kizayuni wa ameishambulia Qatar kwa maneno makali na kutamba kuwa shambulio la miezi ya hivi karibuni lililofanywa na Israel nchini Qatar lilikuwa ni "hatua sahihi"…
Waziri wa Vita wa Israel afuta haraka matamshi yake kuhusu uvamizi
Waziri wa Vita wa Israel amelazimika kufuta matamshi yake saa chache tu baada ya kudai kuwa kamwe utawala wa Kizayuni hautaondoa wanajeshi wake vamizi kwenye Ukanda wa Ghaza.
“G20” latajwa kuwa neno maarufu zaidi kwa mwaka 2025 nchini Afrika Kusini
Neno "G20" lilikuwa ndilo neno lililotumika mara nyingi zaidi nchini Afrika Kusini mwaka wa 2025. Hayo ni kwa mujibu wa Bodi ya Lugha ya Afrika Kusini (PanSALB).