Umoja wa Mataifa: Mwanamke mmoja huuliwa kila baada ya dakika 10
Ripoti ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa jana Jumatatu ilisema kwamba karibu wanawake 50,000 waliuawa na jamaa zao mwaka wa 2024, kwa kiwango cha mwanamke mmoja kila baada ya dakika 10,…
Tanzania, Qatar zakubaliana vyeti vya mabaharia
LONDON; Serikali ya Tanzania na Serikali ya Qatar zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya kutambuliana vyeti vya mabaharia katika hafla ya utiaji saini iliyofanyika jijini London. Hafla hiyo imefanyika pembezoni…
A call for accuracy, context and responsible journalism
DAR ES SALAAM: WHEN CNN released its video report on the October 29 protests in Tanzania, many viewers expected a clear, factual and balanced account of the day’s events. International…
Mchengerwa atoa maagizo sita kuimarisha uzalishaji bidhaa za afya
Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa ametoa waraka mahususi unaoanzisha utekelezaji wa mkakati wa...
IEBC yawataka wanasiasa wa Kenya wasichochee machafuko na uvunjivu wa amani
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya (IEBC), imewataka wanasiasa kuelekeza nguvu zao katika kuhimiza amani na utulivu, badala ya kutoa matamshi yanayoweza kuchochea taharuki miongoni mwa wananchi.
Mwigulu aagiza Watanzania wapewe kandarasi
SERIKALI imeagiza wakandarasi wazawa wapewe kazi za ujenzi wa miradi ya barabara. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ametoa agizo hilo alipozungumza na wakazi wa Dar es Salaam katika mkutano wa…
Ndejembi ataka kasi utafutaji gesi, mafuta
DAR ES SALAAM: Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi ameitaka Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kubuni mikakati thabiti itakayosaidia kuongeza kasi ya utafutaji wa mafuta na gesi…
Mapitio ya #MAGAZETI leo Novemba 25,2025 kwenye #MorningTrumpet #UTV108
Mapitio ya #MAGAZETI leo Novemba 25,2025 kwenye #MorningTrumpet #UTV108 #AzamTVUpdates
Uhuru Day funds redirected
To fund post-unrest recovery DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has cancelled this year’s December 9 Independence Day celebrations, directing that the funds be used to restore infrastructure damaged…
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: SEKTA YA MAUA..NOVEMBA 25, 2025
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: SEKTA YA MAUA..NOVEMBA 25, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, NOVEMBA 25, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, NOVEMBA 25, 2025
Mwanajeshi wa zamani wa Uingereza anayesakwa nchini Kenya kwa mauaji anyimwa dhamana
Mwili wa Wanjiru ulipatikana kwenye tanki la maji taka katika Hoteli ya Lion's Court katika mji wa Nanyuki nchini Kenya mnamo Juni 2012. Wanjir alionekana mara ya mwisho akiwa na…
#MEZAHURU: Hivi ni kweli Mwanaume akijaliwa kipato anaijali familia yake na Mwanamke akipata kipato anahitaji kuwa peke yake…..
#MEZAHURU: Hivi ni kweli Mwanaume akijaliwa kipato anaijali familia yake na Mwanamke akipata kipato anahitaji kuwa peke yake..? Tupe sababu. #SaaTisaKamiliMchana #Mezuhuru
Dk Mwinyi akemea vikao hoteli za kitalii
RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ameagiza makatibu wakuu wa wizara waache kuidhinisha vikao vifanyike katika hoteli za kitalii. Dk Mwinyi alitoa agizo hilo wakati akiapisha makatibu wakuu na naibu…
BoT yaonya upotoshaji amana benki za biashara
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imesema mifumo ya malipo ya Taifa na amana za wateja katika benki za biashara nchini ni salama. BoT imekanusha taarifa za upotoshaji kuhusu usalama wa…
Marekani yaondoa ushuru wa 15% kwa kakao ya Ghana, mauzo ya nje
Ghana imepata uthibitisho rasmi kutoka Marekani kwamba Washington imeondoa kikamilifu ushuru wa asilimia 15 uliowekwa kwa mauzo ya nje ya kakao na mazao mengine katika taifa hilo la Afrika Magharibi.
Ifahamu CNN na maajabu yake
CNN ni wimbo wa hip-hop wa rapa marehemu Albert Mangwea 'Ngwair' na Fid Q uliyoachiwa rasmi...
Mwigulu atoa agizo usafiri mwendokasi
SERIKALI imetoa siku 10 kwa watendaji wa taasisi zinazohusika na usafiri wa mwendokasi Dar es Salaam wainishe maeneo ya kufanyiwa kazi haraka. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ametoa agizo hilo…
Sudan: RSF yatangaza kusitisha mapigano kwa miezi mitatu
Kundi la RSF limetangaza kusitisha mapigano kwa muda wa miezi mitatu hatia inayokuja ikiwa imepita siku moja baada Jeshi la sudan kukataa wito wa kimataifa wa kustisha vita unaongozwa na…
Volcano ya Ethiopia yalipuka baada ya utulivu wa miaka 12,000
Volcano katika eneo la kaskazini mashariki mwa Ethiopia ililipuka kwa mara ya kwanza katika takriban miaka 12,000, na kurusha moshi mwingi hadi kilomita 14 angani.
Guinea Bissau: Mgombea huru adai kuibuka mshindi wa uchaguzi wa urais
Nchini Guinea Bissau mgombea huru Fernando Dias da Costa, anayeungwa mkono na chama cha Social Renewal Party (PRS) na Muungano wa kisiasa wa Terra Ranka amedai kushinda duru ya kwanza…
Jukumu la Afrika kama ‘mzalishaji wa malighafi litafikia kikomo hivi karibuni,’ mkuu wa AU anasema
Umoja wa Afrika (AU) Jumatatu ulitoa wito wa kuwepo kwa uwakilishi wa kudumu wa Afrika kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa pamoja na uwakilishi sawa katika taasisi za…
Visa zaidi ya Elfu 2 vya ukiukaji wa haki za binadamu vyaripotiwa DRC
Ofisi ya haki ya Umoja wa Mataifa, imesema imeorodhesha visa 2,767 vya ukiukaji wa haki za binadamu na sheria za kimataifa za msaada nchini Kenya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya…
🔴#MAGAZETI: WAZIRI MKUU AAGIZA KANISA LA GWAJIMA LITOLEWE KIFUNGONI- 25 NOVEMBA 2025
🔴#MAGAZETI: WAZIRI MKUU AAGIZA KANISA LA GWAJIMA LITOLEWE KIFUNGONI- 25 NOVEMBA 2025
Uamuzi wa kuadhibu Viongozi wa Taasisi zilizofanya makosa badala ya kufungia Taasisi husika, Je, utaondoa malalamiko yaliyokuwa …
Uamuzi wa kuadhibu Viongozi wa Taasisi zilizofanya makosa badala ya kufungia Taasisi husika, Je, utaondoa malalamiko yaliyokuwa yanajitokeza
IRGC: Mauaji ya kamanda wa Hizbullah yamefichua udhaifu wa Israel mbele ya Muqawama
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limesema kuwa mauaji ya kikatili yaliyofanywa na Israel dhidi ya kamanda wa ngazi za juu wa Harakati ya Hizbullah ya…
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI…NOVEMBA 25, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI...NOVEMBA 25, 2025
Mjawa centre improves Kibiti medical access
KIBAHA: IN a move to improve access to quality health services, Kibiti District Council in Coast Region supported by the Government has successfully implemented several health projects across the district.…
UN: Mwanamke mmoja aliuawa kila baada ya dakika 10
Ripoti ya Umoja wa Mataifa imesema kila baada ya dakika kumi mwanamke mmoja, mahali fulani duniani aliuliwa na mtu wa karibu, mwaka uliopita, huku ukilalamikia hatua dhaifu katika vita dhidi…
Uingereza kuongoza majadiliano ya mpango wa amani wa Ukraine
Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer hii leo anatarajiwa kuzungumza na washirika wa Ukraine wa Ulaya, kufuatia majadiliano ya mpango wa awali wa amani katika taifa hilo lililokumbwa na vita.
Amnesty yawashutumu RSF kwa uhalifu El-Fasher
Shirika la haki za binadamu la Amnesty International limewashutumu wanamgambo wa RSF nchini Sudan kwa uhalifu wa kivita katika mji wa El-Fasher huko Darfur pamoja na Umoja wa Falme za…
Marekani kuwachunguza upya wakimbizi walioingia 2021-2025
Serikali ya Rais Donald Trump inapanga kufanya mapitio ya wakimbizi wote walioingia nchini Marekani wakati wa utawala wa Joe Biden, hii ikiwa ni kulingana na hati iliyoonwa na shirika la…
Wakfu ‘tata’ wa misaada Gaza watangaza kufunga shughuli zake
Wakfu wa Misaada ya Kiutu kwenye Ukanda wa Gaza uliokuwa ukiratibiwa na Marekani kwa kushirikiana na Israel unafunga shughuli zake wiki sita baada ya makubaliano ya kusitisha mapigano kuanza kutekelezwa.
Join VETA Ukerewe for skills development, youth tipped
UKEREWE: ACTING Executive Director of Ukerewe District Council, Dr Charles Mkombe, has urged parents and guardians to continue enrolling their children at the Vocational Education and Training Authority (VETA) centre…
Kura ya maoni: Wamarekani wengi wanapinga hatua za kijeshi dhidi ya Venezuela
Kura ya maoni iliyofanywa na CBS News ikishirikiana na kampuni ya utafiti ya YouGov imeonyesha kuwa Wamarekani wengi wanapinga hatua zozote za kijeshi dhidi ya Venezuela.
Familia za watoto waliotekwa nyara Nigeria zachanganyikiwa kutokana na kukaririwa vitendo hivyo mashuleni
Familia za wanafunzi waliotekwa nyara nchini Nigeria zimenasa kati ya matumaini na kukatishwa tamaa kutokana na vitendo vya kukaririwa vya utekaji nyara wanafunzi wakiwa mashuleni.
Hamas: Ukiukaji wa Israel wa makubaliano ya kusitisha mapigano ya Gaza unadhoofisha makubaliano hayo
Hazem Qassem, msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) huko Gaza, amesema kwamba ujumbe wa harakati hiyo umefanya mazungumzo na maafisa wa Misri huko Cairo kujadili awamu…
Rais wa Korea Kusini: Mifumo ya kimataifa ya AI inapasa kuhakikisha mataifa yote yanapa teknolojia hiyo kwa usawa
Rais wa Korea Kusini, Lee Jae Myung amesema kuwa mifumo ya kimataifa ya akili mnemba (AI) inapasa kuhakikisha kuwa mataiafa yote yanapata teknolojia hiyo kwa usawa.
Mamluki wa kigeni wana jukumu gani katika kuchochea vita nchini Sudan?
Kamati ya Uchunguzi wa Haki za Binadamu imetangaza kuhusu ushirikiano uliopo kati ya mamluki wa kigeni na Vikosi vya Msaada wa Haraka vya Sudan RSF katika vita vya ndani nchini…
NGO promotes clean cooking for women empowerment
BELEM: A Non-Governmental Organisation, the Mwanamke Initiatives Foundation (MIF), has reiterated its commitment to scaling up clean cooking solutions as a catalyst for improved health, women’s empowerment and environmental protection.…
Jumanne, Novemba 25, 2025
Leo ni Jumanne tarehe 4 Mfunguo Tisa Jamadithani 1447 Hijria mwafaka na 25 Novemba 2025.
Persons with disabilities in Coast Region to benefit from Uwezo project
KIBAHA: COMMUNITIES in the Coast Region have been urged to value people living with disabilities and to effectively involve them in social and development opportunities to help them utilise their…
Starmer kuongoza mjadala wa mpango wa amani wa Ukraine
Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer hii leo anatarajiwa kuzungumza na washirika wa Ukraine wa Ulaya, kufuatia majadiliano ya mpango wa awali wa amani katika taifa hilo lililokumbwa na vita.
Zanzibar confronts rising malnutrition among pregnant women, children
ZANZIBAR: ZANZIBAR is facing a troubling rise in poor nutrition among pregnant women and children, the Director of Preventive Services and Health Education in the Ministry of Health, Dr Salim…
‘Prioritise discipline, national interests’
ZANZIBAR: THE Minister of State in the President’s Office (Constitution, Legal Affairs, Public Service and Good Governance), Haroun Ali Suleiman, has urged staff in his ministry to intensify their efforts…
TRA Kagera surpasses three-month revenue target
BUKOBA: THE Tanzania Revenue Authority (TRA) in Kagera Region has collected 57.8bn/- during the first three months of the 2025/26 financial year, exceeding its target of 50.3bn/- and achieving 114…
Residents urged to support VETA students
DODOMA: KONGWA District residents have been urged to support students of the Vocational Education and Training Authority (VETA) by using products and services made at the institution as part of…
RAS: Allocate funds to improve education infrastructure
DODOMA: DODOMA Regional Administrative Secretary, Dr Khatibu Kazungu, has directed council directors in the region to allocate funds in their budgets to upgrade education infrastructure in order to improve teaching…