#HABARI: Wimbi la watoto kujinyonga linaendelea kuwatesa wazazi Kisiwani Pemba, baada ya mtoto mwingine aliyefahamika kwa jina l…
#HABARI: Wimbi la watoto kujinyonga linaendelea kuwatesa wazazi Kisiwani Pemba, baada ya mtoto mwingine aliyefahamika kwa jina la Muhene Seif Muhene (15), kujinyonga kwa kutumia waya wa pasi ya umeme…
Dar City yaizamisha Bravehearts ikitinga nusu fainali âroad to BALâ
TIMU ya mpira wa kikapu ya Dar City kutoka Tanzania, inaendelea kufanya kweli katika mbio za kufuzu hatua ya nusu fainali, baada ya kupata ushindi wa pili mfululizo kwenye michuano…
Machumu ateuliwa Mkurugenzi Mawasiliano Ikulu
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan amemteua Bakari Steven Machumu kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, akichukua nafasi ya Sharifa Nyanga ambaye amepangiwa majukumu mengine ya…
Mazingira yamempeleka Yondani visiwani
BEKI wa kimataifa wa zamani wa Simba, Yanga na Taifa Stars, Kelvin Yondani anayekipiga kwa sasa New King iliyopo Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL) amefichua sababu zilizomfanya aibukie huko kuwa…
#HABARI: Maafisa wawili wa Polisi wameuawa baada ya gari la Kitengo cha Doria ya Mipakani (BPU), kukanyaga kilipuzi (IED), kando…
#HABARI: Maafisa wawili wa Polisi wameuawa baada ya gari la Kitengo cha Doria ya Mipakani (BPU), kukanyaga kilipuzi (IED), kando ya barabara ya Liboi â Kulan, katika Kaunti ya Garissa,…
HAPA NA PALE KUTOKA TABORA— 19 NOVEMBA 2025
HAPA NA PALE KUTOKA TABORA--- 19 NOVEMBA 2025
Mavitu ya Mangalo yamkosha Mkenya
KOCHA wa Pamba Jiji, Mkenya Francis Baraza amesifu kiwango kinachoonyeshwa na beki wa kati wa kikosi hicho, Abdulmajid Mangalo tangu ajiunge na timu hiyo Agosti 7, 2025 licha ya kukaa…
Tanzania: Kuna watu wasiokuwa na nia njema na taifa letu
Nchini Tanzania chama tawala CCM kimesema kinatambua uwepo wa watu wasiokuwa na nia njema na taifa hilo lililopo ukanda wa Afrika mashariki na kwamba watu hao wanalipwa pesa, ili kuichafua…
CRDB yaorodhesha Sukuk ya Kiislamu soko la hisa Dar
Benki ya CRDB imetangaza mafanikio ya kihistoria baada ya kuiorodhesha rasmi hatifungani yake...
Tchekei: Huko Algeria, nyie subirini muone!
KIUNGO mshambuliaji wa Singida Black Stars, Marouf Tchakei, amesema wanatambua ugumu wanaoenda kukutana nao mbele ya CR Belouizdad ya Algeria katika mechi ya kwanza ya makundi ya Kombe la Shirikisho…
Mhando, Machumu appointed to handle top posts in the Communication sector
DODOMA: THE President of the United Republic of Tanzania, Dr. Samia Suluhu Hassan, has appointed Tido Mhando as Presidential Advisor on information and communication matters. The announcement was made today,…
#HABARI: Wananchi wa Kijiji cha Esukuta, Kata ya Dosidosi, wilayani Kiteto, mkoani Manyara, wamelalamikia tabia ya baadhi ya waf…
#HABARI: Wananchi wa Kijiji cha Esukuta, Kata ya Dosidosi, wilayani Kiteto, mkoani Manyara, wamelalamikia tabia ya baadhi ya wafugaji kuwashawishi watoto wao walioko shuleni, kufanya vibaya kwenye mitihani ya Kitaifa…
Waliokamatwa Tanzania wakati wa vurugu waachiwe huru
Mawakili wanaowatetea watuhumiwa wa kesi za uhaini waliokamatwa katika vurugu za uchaguzi wa Oktoba 29 wamemuomba Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kutekeleza agizo la Rais Samia Suluhu, kuwaachia mara moja watuhumiwa…
Tanzania receives the body of Joshua Mollel from Israel
ARUSHA: THE body of Joshua Mollel, a young Tanzanian allegedly killed in Israel by HAMAS fighters on October 7, 2023, arrived today, November 19, 2025, at Kilimanjaro International Airport (KIA).…
Wahudumu wa kutoa misaada kuamua nani wa kumuokoa Sudan
Mgogoro unazidi kuchukua sura mpya Sudan huku wahudumu wa kutoa misaada wakilazimika kuchagua nani wa kumuokoa. Wakati uohuo, Umoja wa Mataifa umelaani ukatili na kutokuwajibika kunakoshuhudiwa katika jimbo la Darfur.
Legal Affairs Ministry orders its institutions to serve the public diligently
DODOMA: THE Minister for Constitutional and Legal Affairs, Dr Juma Homera, has urged his ministryâs employees and its institutions to increase innovation in the delivery of services to serve Tanzanians…
RIJKAARD: Kocha mwenye siri za Fei Toto
SAFARI ya mafanikio huanza kwa maumivu kwa sababu kila hatua ya ukuaji inahitaji uvumilivu, kujitolea na kupambana na changamoto.
Waangola wa Simba wampa presha Ahmed Ally
Homa ya mechi ya kwanza ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Petro Luanda ya...
BoTâs new monetary policy stabilizes the Tanzanian shilling
DODOMA: TANZANIAâS new monetary policy, which uses the Central Bank interest rate, has begun to show significant achievements in the countryâs economy, including the strengthening of the shilling and the…
Watuhumiwa 93 kesi za uchaguzi wafikishwa mahakamani, waangua vilio
Watuhumiwa 93 wamefikishwa mahakamani kwa mara ya pili wakikabiliwa na mashtaka mawili ya...
#HABARI: Askofu Profesa Rejoice Ndalima akizungumza baada ya tukio la kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri wa Wizara mbalimbali…
#HABARI: Askofu Profesa Rejoice Ndalima akizungumza baada ya tukio la kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri wa Wizara mbalimbali amesema ni muhimu kwa kila Mtanzania kufungua milango ya maridhiano ili kama…
Wingu Africa launches WCX platformm for Tanzaniaâs growing digital economy. Â
DAR ES SALAAM: WINGU Africa has officially launched new Data Center services through its Wingu Cloud Exchange (WCX) platform, a modern private cloud system hosted locally and designed for the…
Washtakiwa 79 kati ya 191 wa uhaini Arusha wapandishwa kizimbani tena
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imeahirisha kesi tatu zinazowakabili washtakiwa 79...
Mwinyi pledges faster, friendlier investment climateÂ
ZANZIBAR: ZANZIBAR President Hussein Mwinyi has pledged to speed up reforms to create a faster, friendlier and more predictable investment climate, positioning the Isles as East Africaâs top destination for…
Tourism Ministry commits to working with humanity, cooperation
DODOMA: THE Deputy Minister of Natural Resources and Tourism, Hamad Chande, has called on the management of the Ministry of Natural Resources and Tourism to offer full cooperation in fulfilling…
Serikali ikishirikiana na wadau wa kahawa imeanzisha mikakati ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi kwa kuchimba visima, kuj…
Serikali ikishirikiana na wadau wa kahawa imeanzisha mikakati ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi kwa kuchimba visima, kujenga mabwawa na kuhamasisha kilimo cha umwagiliaji ili kuongeza uzalishaji wa zao la…
Labour experts seek to rescue domestic workers from verbal contracts
MOROGORO: WRITTEN employment contracts for domestic workers have been described as a painful and hopeless issue for many, as most employers avoid entering into formal agreements despite the Employment and…
Watuhumiwa 93 wa vurugu za uchaguzi wafikishwa mahakamani Mwanza
KESI inayowakabili watuhumiwa 93 kati ya 172 wanaodaiwa kuhusika katika matukio ya uhalifu yaliyotokea wakati wa uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imeahirishwa hadi Desemba 2 baada ya upande wa…
Mashambulizi ya Urusi yawaangamiza 20 Ukraine
Serikali ya Ukraine imesema makombora na droni za Urusi, zilizovurumishwa katika mji wa Magharibi wa Ternopil nchini humo, yamesababisha mauaji ya watu 20 wakiwemo watoto wawili.
Kopa: Msiangalie mabaya ya wasanii tu
DAR ES SALAAM:MSANII nguli wa muziki wa taarabu nchini, Khadija Kopa, amewataka watengeneza maudhui na wanahabari wa mitandaoni kuacha kuangazia tu mabaya ya wasanii, badala yake wasaidie kuwashauri na kuwaelekeza…
Yaliyojiri Mkutano wa Kwanza Bunge la 13
WIKI iliyopita, naweza kusema ilikuwa Wiki ya Bunge la 13 tangu Novemba 8 hadi 14, 2025. Katika kipindi hicho, wabunge ambao ni matunda ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na…
 Kampeni ya âStori yako ina thamaniâ ilivyowanufaisha wateja
Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano wa benki ya Absa Tanzania, Aron Luhanga amesema benki hiyo...
Mahakama yaagiza mtuhumiwa wa uhaini apewe matibabu
Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imeagiza mshtakiwa namba 18 katika kesi ya makosa ya uhaini...
âUzinduzi WCX kuimarisha uchumi kidijitaliâ
Dar es Salaam; KUZINDULIWA kwa Jukwaa la Wingu Cloud Exchange (WCX) kumeelezwa kutaimarisha kwa kiasi kikubwa uchumi wa kidijitali. Hatua hiyo imekuja baada ya Kampuni ya Wingu Africa leo Novemba…
Waislamu wahanga wa siasa za chuki katika nchi za Magharibi; uhuru na usawa ni kaulimbiu tu
Chuki dhidi ya Uislamu nchini Uingereza imezidi kuwa mbaya zaidi, huku Tume ya Haki za Binadamu ya Kiislamu ya Uingereza ikionya kuhusu matokeo ya kuendeleza hali hii.
Iran: Azimio la Marekani lililopasishwa na UN kuhusu Gaza linahalalisha ukaliaji mabavu
Iran imekosoa azimio lililoandaliwa na Marekani na kupasishwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linaloweka utaratibu wa kutumwa Gaza usimamizi wa nchi ajinabi na kutahadharisha kuwa azimio hilo…
Katibu Mkuu wa UN: Ugaidi katika eneo la Sahel ni tishio linaloongezeka
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewatahadharisha viongozi duniani kwamba ugaidi katika eneo la Sahel barani Afrika ni tishio linaloongezeka duniani.
Kampuni ya silaha ya Israel ya Elbit imeingiza mapato makubwa wakati wa mauaji ya kimbari ya Gaza
Kampuni ya Israel inayoongoza kwa utengenezaji wa silaha, Elbit Systems, imetangaza ongezeko kubwa la faida iliyopatikana katika muda wa robo mwaka kufuatia miezi kadhaa ya ushiriki wa kampuni hiyo katika…
Rais wa Nigeria athibitisha kuuawa kwa jenerali wa jeshi
Brigedia huyo wa jeshi ndiye afisa wa ngazi ya juu kuuawa katika vita hivyo vya muda mrefu tangu 2021.
Rais wa Nigeria athibitisha kuuawa afisa wa ngazi ya juu wa jeshi
Rais wa Nigeria amethibitisha kuwa Brigedia jenerali Musa Uba ameuawa na kundi la kigaidi akiwa matekani. Mauaji hayo yamefanywa siku chache baada ya afisa huyo wa ngazi ya juu wa…
32nd Tanzania Book Fair attracts multinational exhibitorsÂ
DAR ES SALAAM: THE Tanzania Library Services Board (TLSB) said the 32nd National Book Fair of Tanzania will be held from November 21 to 26 at its headquarters in Dar…
Diwani Manara aanza na kasi Kariakoo
DAR ES SALAAM: DIWANI mpya wa Kata ya Kariakoo, Haji Manara, ameishukuru jamii ya Kariakoo kwa kujitokeza kwa wingi na kumpa ushindi mkubwa wa asilimia 98 katika Uchaguzi Mkuu wa…
Serikali kupitia mradi wa TASAF, imetoa kiasi cha shilingi milioni 160 kwa ajali ya ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari Matala ili…
Serikali kupitia mradi wa TASAF, imetoa kiasi cha shilingi milioni 160 kwa ajali ya ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari Matala iliyopo katika Kijiji cha Matala, wilayani Karatu. Ujenzi huo…
đ´MEZA HURU – NINI KIFANYIKE ILI KUONGEZA UFAULU WA MASOMO YA SAYANSI NA HISABATI….NOVEMBA 19, 2025
đ´MEZA HURU - NINI KIFANYIKE ILI KUONGEZA UFAULU WA MASOMO YA SAYANSI NA HISABATI....NOVEMBA 19, 2025
Grossi: Wakaguzi wa wakala wa IAEA wamerejea Iran
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amesema katika kikao cha robo mwaka cha Bodi ya Magavana ya wakala huo kwamba: "Wakaguzi wa IAEA wamerejea Iran…
Kumekucha maonesho ya vitabu Dar
DAR ES SALAAM :JAMII imehimizwa kusoma vitabu ili kutunza fikra,kuhifadhi maarifa ya kitaifa pamoja na kutambua hadhi ya waandishi wa kitanzania ili kuwe na kizazi bora kinachotambua thamani ya yaliyohifadhiwa…
Vita ya uamuzi: Guterres atoa wito wa nguvu ya vijana katika kuachana na mafuta kisukuku COP30
Kuna hisia kwamba ukurasa mpya unageuzwa. Baada ya miaka ya mijadala, ramani ya muda mrefu inayosubiriwa ya kuondoa matumizi ya mafuta ya kisukuku huenda hatimaye ikaandikwa katika maamuzi rasmi ya…
Wanawake milioni 840 wamepitiaâ ukatili wa wenzi wao au kingono
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) pamoja na wadau wa Umoja wa Mataifa wametoa ripoti muhimu leo hii jijini Geneva, Uswisi ikionesha kuwa ukatili dhidi ya wanawake…
UN imelaani mashambulizi ya angani yanayowaua raia nchini Ukraine
Umoja wa Mataifa leo umelaani vikali wimbi la mashambulizi ya angani nchini Ukraine ambayo yameua makumi ya raia.
Nchi zaidi zaripoti ongezeko la ugonjwa wa kisonono kinachokataa dawa – WHO
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) linaonya kwamba kisonono (gonorrhoea), mojawapo ya magonjwa ya zinaa, kinazidi kuwa sugu kwa viua-vijasumu (antibiotics), kulingana na takwimu mpya kutoka Mpango…