Wanawake Sudan waomba amani irejee kwani mateso yamezidi
Wakinamama wakimbizi wa ndani nchini Sudan wameziomba jumuiya za kimataifa kuwasaidia kuhakikisha vita inaisha nchini mwao ili waweze kuishi kwa amani kwani madhila waliyopitia ni mengi na yanahuzunisha.
WHO: Watu bilioni 3.4 hawana huduma salama ya vyoo duniani
Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa Duniani WHO leo linaadhimisha Siku ya Choo Duniani kwa onyo kali kwamba janga la usafi wa mazingira duniani linagharimu maisha kila siku, na…
Namanga, eneo la mshikamano wa kisiasa kati ya Kenya na TZ
Wakati wa uchaguzi mkuu wa Oktoba 29 nchini Tanzania, mpaka wa Namanga unaounganisha Kenya na Tanzania, Uligeuka kuwa uwanja wa makabiliano na njia ya kuonesha mshikamano wa kisiasa kati ya…
WFP yalia kukosa pesa za kuwalisha wenye njaa
Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limesema upungufu mkubwa wa ufadhili unalifanya...
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55, NOVEMBA 19, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55, NOVEMBA 19, 2025
Kusah kwenye mioyo ya Wanabumbuli
Wakati Waingereza wana Elton John, Tanzania yupo Salmin Ismail Hoza maarufu kama Kusah. Hawa...
Guterres: Mataifa ya Sahel yaungane kudhibiti vurugu
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito kwa mataifa ya Sahel, jumuiya ya kiuchumi ya nchi za Afrika Magharibi, ECOWAS na washirika waungane kwa umoja na kujenga…
CCM to establish performance benchmarks for government leaders
DODOMA: THE ruling Chama cha Mapinduzi (CCM) is underway to establish performance benchmarks for government leaders, monitor their performance according to the standards set by the party for its government…
‘Milango uwekezaji nishati safi ipo wazi’
NAIBU Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Prof. Peter Msoffe amesema milango ya uwekezaji wa nishati safi ya kupikia ipo wazi kwa wadau wanaotaka kuwekeza. Amesema hayo ikiwa…
Mikataba wafanyakazi wa nyumbani kilio cha wengi
DAR ES SALAAM; MIKATABA ya maandishi ya ajira kwa wafanyakazi wa nyumbani imetajwa kuwa ni kilio cha wengi kisichokuwa na matumaini kutokana na waajiri wengi kukwepa kuingia makubaliano nao licha…
Jubilee yaondoa mzigo wa makaratasi kwa mawakala na wateja
Mzigo wa makaratasi, kusahau fomu muhimu, pamoja na ucheleweshaji wa taratibu za usajili wa...
Kukosekana mikataba ya kazi, kilio kwa wafanyakazi wa majumbani
Wafanyakazi wa majumbani nchini wamelalamikia kutotolewa mikataba ya maandishi licha ya kufanya...
Chama cha wajane Zanzibar kimeomba kuongezwa kwa kasi ya uwezeshaji wa wajane kifedha pamoja na mapitio ya sheria ili wajikwamue…
Chama cha wajane Zanzibar kimeomba kuongezwa kwa kasi ya uwezeshaji wa wajane kifedha pamoja na mapitio ya sheria ili wajikwamue kiuchumi. #AzamTVUpdates Mhariri | John Mbalamwezi
#HABARI: Katibu wa NEC-Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg
#HABARI: Katibu wa NEC-Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Kenani Laban Kihongosi, leo Novemba 19, 2025 akizungumza na waandishi wa habari amesema; “ Wajibu wa Chama Wajibu wa Chama Cha Mapinduzi…
Wataalamu wa udhibiti wa viashiria vya hatari wamekutana jijini Mwanza kwenye mkutano mkuu wa 8, ambapo pamoja na mambo mengine,…
Wataalamu wa udhibiti wa viashiria vya hatari wamekutana jijini Mwanza kwenye mkutano mkuu wa 8, ambapo pamoja na mambo mengine, wametaja mabadiliko ya tabianchi, ukuaji wa teknolojia na matumizi ya…
Fahamu maana ya ‘Accept Cookies’ unapoingia katika tovuti kwa mara ya kwanza
Je, unafahamu unapoingia katika tovuti kisha ukabofya ‘Accept Cookies’ unakuwa umekubali nini?
Bodaboda, bajaji Njombe wataka utulivu uendelee
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Mahamoud Banga, ametoa onyo na tahadhari kwa madereva wa...
UCHAMBUZI WA MALOTO: Tanzania ilivyofikishwa njiapanda ya njia nne hatari
Taifa la Tanzania linamomonyolewa. Mmomonyoko ni mkubwa. Nchi inagawika pande mbili.
SADC nations launch the 2025-30 Communication, Advocacy Strategy
GABORONE: THE Southern African Development Community (SADC) has launched its 2025–2030 Communication and Advocacy Strategy aimed to strengthening communication, regional cooperation, and sustainable development among its member states. The launch…
Mwili wa raia wa Tanzania, Joshua Loitu Mollel (21) aliyeuawa na kundi la Hamas katika shambulio la Oktoba 7, 2023 nchini Israel…
Mwili wa raia wa Tanzania, Joshua Loitu Mollel (21) aliyeuawa na kundi la Hamas katika shambulio la Oktoba 7, 2023 nchini Israel, unatarajiwa kuwasili leo katika Uwanja wa Ndege wa…
Wanawake wanaopata ujauzito wakati bado wananyonyesha wameaswa kuendelea kuwanyonyesha watoto wao, kwani hakuna athari zozote za…
Wanawake wanaopata ujauzito wakati bado wananyonyesha wameaswa kuendelea kuwanyonyesha watoto wao, kwani hakuna athari zozote za kiafya zinazoweza kumpata mtoto anaponyonya maziwa ya mama mjamzito. #AzamTVUpdates Mhariri | John Mbalamwezi
Maswali juu ya ubora wa tume ya kuchunguza mauaji Tanzania
Wadau, wanazuoni na vyama vya siasa Tanzania, wameibua maswali kuhoji ubora na tija ya tume iliyoundwa na Rais Samia, kuchunguza vurugu wakati wa uchaguzi wa Oktoba 29, zilizosababisha mauaji na…
Jezi mpya za Yanga zazua mjadala
KLABU ya Yanga, leo Jumatano Novemba 19, 2025 imezindua jezi maalum kwa ajili ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2025-2026, huku zikizua gumzo mtandaoni kwa mashabiki na…
Shirika la Afya Duniani (WHO) litapunguza wafanyakazi wake zaidi ya elfu mbili kufikia katikati ya mwaka 2026 kufuatia uamuzi wa…
Shirika la Afya Duniani (WHO) litapunguza wafanyakazi wake zaidi ya elfu mbili kufikia katikati ya mwaka 2026 kufuatia uamuzi wa Marekani kuanza mchakato wa kujiondoa kwenye shirika hilo. #AzamTVUpdates Mhariri…
Morogoro reaps 17bn/-from minerals surge
MOROGORO: THE mineral sector in Morogoro is emerging as a critical pillar of regional development, with gold sales reaching 16.51bn/- between July 2023 and September 2025. This surge highlights the…
UE inapanga kutoa mafunzo kwa maafisa wa polisi 3,000 Gaza
Umoja wa Ulaya (EU) unafikiria kutoa mafunzo kwa maafisa wa polisi wapatao 3,000 katika Ukanda wa Gaza, sawa na kile ambacho tayari umefanya katika Ukingo wa Magharibi, afisa mmoja wa…
TRA steps up efforts to build taxpayers’ trust in the authority
DODOMA: TANZANIA Revenue Authority (TRA) has directed its TRA staff to develop good relations with taxpayers by serving them professionally and in compliance with the law. The move comes a…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55, NOVEMBA 19, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55, NOVEMBA 19, 2025
Watu 13 wauwa katika Kambi ya wakimbizi wa Kipalestina
Watu 13 wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa Jumanne kufuatia shambulio la anga la Israel kwenye kambi ya wakimbizi wa Kipalestina kusini mwa Lebanon.
Nigeria yasema Marekani haipaswi kuiingilia kijeshi
Serikali ya Nigeria imepinga vikali vitisho vya kijeshi vilivyotolewa na Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhusu madai ya mateso dhidi ya Wakristo nchini humo.
CCM warns its Ministers against irresponsibility, negligence
DODOMA: THE ruling Chama cha Mapinduzi (CCM) has issued a stern warning to all the newly sworn-in Ministers and Deputy Ministers, noting that the party will not hesitate to take…
Trump ampokea Mwanamfalme wa Saudia Mohammed bin Salman
Rais wa Marekani Donald Trump amempokea katika Ikulu ya White House Mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman na wakasaini mikataba ya kibiashara na kiulinzi.
Isles’ Sports City project sees good progress ahead of AFCON finals
ZANZIBAR: PRESIDENT Hussein Ali Mwinyi has visited and inspected the progress of the construction of the strategic Zanzibar Sports City project being implemented in the Fumba area, in the Urban…
Bunge: Nyaraka za siri za Epstein zifichuliwe Marekani
Bunge la Marekani limepitisha muswada ambao utaweza kuilazimisha Wizara ya Sheria kufichua nyaraka zote za siri zinazohusiana na kashfa ya ngono ya mfanyabiashara Jeffrey Epstein.
Tanzania pushes for faster delivery of energy targets
DODOMA: ENERGY Minister, Deogratius Ndejembi, has directed his ministry staff to accelerate implementation of government priorities, stressing that meeting Tanzania’s target of generating 8,000 megawatts by 2030 will require renewed…
Tanzania pushes for faster delivery of energy targets
DODOMA: ENERGY Minister, Deogratius Ndejembi, has directed his ministry staff to accelerate implementation of government priorities, stressing that meeting Tanzania’s target of generating 8,000 megawatts by 2030 will require renewed…
Kremlin yakataa kuzungumzia kuhusu mpango wa amani wa Marekani, tisa waangamia Ukraine
Kremlin imekataa Jumatano, Novemba 19, kutoa maoni kuhusu ripoti zilizochapishwa na chombo cha habari cha Marekani cha Axios kwamba Washington na Moscow zinaandaa mpango wa amani kwa siri ili kukomesha…
Merz na Macron zataka uhuru wa teknolojia wa Ulaya
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz na Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron wamezungumzia kuhusu kuisaidia Ulaya kuendana na kasi ya matumizi ya Akili Mnemba ili kuleta uhuru zaidi wa teknolojia Ulaya.
Watu tisa wauawa Ukraine kufuatia mashambulizi ya Urusi
Watu tisa wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa kufuatia shambulio la Urusi usiku wa kuamkia leo katika eneo la Ternopil magharibi mwa Ukraine.
Mwanaume katika jamii anatakiwa kuwa na sifa zipi?
Mwanaume katika jamii anatakiwa kuwa na sifa zipi? Hawa hapa mchekeshaji, Hakika Ruben, mtaalamu wa rasilimali watu, Moses Samora pamoja na kiongozi wa dini, Mahmoud Paul wakitaja na kueleza sifa…
China kusitiisha uagizaji wa vyakula vya baharini vya Japan
China itasitisha uagizaji wake wa vyakula vya baharini vya Japan, vyombo vya habari vya Japan vimeripoti Jumatano, Novemba 19, huku kukiwa na mzozo wa kidiplomasia kati ya nchi hizo mbili…
Education first for every girl in our nation
Education stakeholders in Tanzania have issued a renewed and passionate call urging girl students across the country to remain fully focused on their studies so they can achieve their dreams…
Mgogoro mashariki mwa DRC: Mazungumzo ya kitaifa yanaongozwa na dini yamefikia wapi?
Karibu miezi mitatu baada ya kupitishwa kwa mpango wa mazungumzo ya kitaifa jumuishi yanayolenga kutatua mgogoro wa kisiasa na usalama mashariki mwa DRC, madhehebu ya kidini ya Kongo yaliyo nyuma…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55, NOVEMBA 19, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55, NOVEMBA 19, 2025
Msua Primary School push that sparked a partnership
COAST REGION: What began as a small act of kindness on a muddy village road has grown into a story of generosity and goodwill that continues to ripple through Tanzania’s…
Lebanon: Shambulio la Israel kwenye kambi ya wakimbizi ya Palestina yaua watu kadhaa
Idadi ya vifo kutokana na shamblio la Israel kwenye kambi ya wakimbizi ya Ain al-Hilweh huko Sidon, kusini mwa Lebanon, imeongezeka nakufikia 13, Wizara ya Afya ya Lebanon imeripoti siku…
Bassirou Diomaye Faye: Rais wa Senegal
Basirou Diomaye Faye ni rais wa taifa la Senegal lililoko Afrika Magharibi. Taifa hilo lina watu takriban watu milioni 19.
Lebabon: Israel imeshambulia kambi ya wakimbizi wa Palestina
Maafisa wa serikali ya Lebabon wamesema shambulizi la Israel dhidi ya kambi ya wakimbizi wakipalestina Kusini mwa taifa hilo, limesababisha mauaji ya watu 13 huku wengine kadhaa wakijeruhiwa vibaya.
Mfahamu Jadoo wa Koi Mil Gaya
Nchini India katika tasnia ya filamu, jina la Indravadan Purohit halisikiki sana, tofauti na...
Familia yamtelekeza R Kelly gerezani
Mwanamuziki wa R&B, R Kelly aliyewahi kutamba na ngoma kama I Believe I Can Fly, The...