Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kutatua changamoto ya magugu maji kwenye Ziwa Babati na maziwa mengine nchini yaliyoathiriwa na mimea hiyo, ambayo imeathiri uvuvi…
Mwinyi kujenga ghati la kudumu Tumbatu
Mgombea urais wa Zanzibar kupitia CCM, Dk Hussein Mwinyi, ameahidi kuwajengea ghati la kudumu...
Nyota 150 wakiwasha michuano ya Gofu Arusha
Zaidi ya nyota 150 wa mchezo wa gofu kutoka mataifa matano ya Afrika, wameendelea kuchuana vikali kwenye mashindano ya wazi ya Tanzania Open 2025 yanayofanyika katika viwanja vya Kili Golf,…
Mrajisi wa ushirika ahimiza ubunifu masoko ya kahawa, uzalishaji
Mrajisi wa vyama vya ushirika nchini, Dk Benson Ndiege amewataka wadau wa sekta ya kahawa...
Viongozi mbali mbali wapongeza mpango wa amani kwa Gaza
Hisia za kimataifa zimekuwa zikiongezeka kufuatia mwitikio chanya wa kundi la Hamas jana kwa mpango wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kuwakomboa mateka wa Israel huko Gaza na kumaliza…
Watu kadhaa wajeruhiwa kwenye shambulizi la Urusi, Ukraine
Takriban watu 30 wamejeruhiwa katika shambulizi la droni kwenye kituo cha reli mkoani Sumy kaskazini-mashariki mwa Ukraine. Haya yamesemwa leo na maafisa wa nchi hiyo.
Mbio za baiskeli kutumika kurudisha tabasamu kwa wanafunzi Dodoma
Ili kuchangia upatikanaji wa elimu bora kwa wanafunzi wanaotoka katika mazingira magumu, Shule...
Rais mpya wa Malawi aapa kukabiliana na ufisadi
Rais mpya wa Malawi, Peter Mutharika, amechukuwa rasmi madaraka leo Jumamosi na kutoa ahadi ya kukomesha ufisadi uliokithiri pamoja na kufufua uchumi wa taifa hilo la kusini mwa Afrika.
Waomba hifadhi waliokatiliwa Ujerumani wadaiwa kujificha
Maelfu ya safari za kuwarejesha makwao wahamiaji waliokosa hifadhi Ujerumani zinafutiliwa mbali kutokana na kutoweka ghafla kwa waomba hifadhi hao na pia uwasilishaji wa ghafla wa vyeti vya matibabu.
Tunisia yatoa hukumu ya kifo juu ya chapisho la Facebook
Mahakama moja nchini Tunisia imemhukumu kifo mwanamume wa umri wa miaka 51 kuhusiana na chapisho katika mtandao wa Facebook lililoonekana kumkera Rais wa nchi hiyo Kais Saied.
Halmashauri kufungua kiwanda cha parachichi, kituo cha mafunzo kwa vijana
Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya imetangaza mpango wa kufungua kiwanda cha kuchakata parachichi...
Mgombea Ubunge Jimbo la Lindi Mjini kupitia tiketi ya chama cha ACT Wazalendo, Isihaka Mchinjita amesema endapo atapata ridhaa y…
Mgombea Ubunge Jimbo la Lindi Mjini kupitia tiketi ya chama cha ACT Wazalendo, Isihaka Mchinjita amesema endapo atapata ridhaa ya kuchaguliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo ataboresha mfumo wa soko…
Daraja la Sh59.5 milioni lazinduliwa na Mwenge wa Uhuru Ileje
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025, Ismail Ali Ussi amewahimiza wananchi kulinda...
🔴HAPA NA PALE KUTOKA RUVUMA: OKTOBA 04, 2025 – UZALISHAJI MAZAO YA MKAKATI WAONGEZEKA
🔴HAPA NA PALE KUTOKA RUVUMA: OKTOBA 04, 2025 - UZALISHAJI MAZAO YA MKAKATI WAONGEZEKA
Rajoelina: Kizazi Gen-Z kilichompa madaraka sasa kinamtaka ang’atuke
Kuna msemo wa Kiswahili, ‘utavuna ulichopanda’ ndivyo ilivyo kwa Rais Andry Rajoelina wa...
Msigwa azirudisha Yanga, Simba Benjamin Mkapa kwa masharti
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali...
Mwigulu ateka hisia sherehe za ubingwa Singida BS
Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Nchemba leo, Oktoba 5, 2025...
#HABARI: Kikao cha 54 cha Bodi ya Parole, kilichokutana mjini Morogoro kimependekeza kuachiwa kwa wafungwa 163 wakiwemo wanawake…
#HABARI: Kikao cha 54 cha Bodi ya Parole, kilichokutana mjini Morogoro kimependekeza kuachiwa kwa wafungwa 163 wakiwemo wanawake 11, kati ya 206 waliojadiliwa ili wakamalizie kutumikia kifungo chao kwenye jamii…
Watano wauawa Tunduru, Polisi wakamata 15
Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma linachunguza mauaji ya kikatili ya watu watano na wengine watatu...
CCM kujenga kituo cha utafiti wa mbegu Nzega, soko jipya Bukene
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi ujenzi wa kituo cha utafiti wa mbegu na kituo cha kupoza...
Laizer aachiwa zigo Fountain Gate
UONGOZI wa Fountain Gate umesema hautafanya uamuzi wa haraka kutafuta kocha mkuu, badala yake Mohamed Ismail ‘Laizer’ ambaye ni msaidizi atapewa majukumu ya kukiongoza kikosi hicho katika kipindi cha mpito.
Wilaya ya Singida imeandaa mkutano mkuu wa wadau wa kilimo wakiwemo wakulima ili kuhakikisha wilaya hiyo inaendelea kuzalisha…
Wilaya ya Singida imeandaa mkutano mkuu wa wadau wa kilimo wakiwemo wakulima ili kuhakikisha wilaya hiyo inaendelea kuzalisha zaidi mazao mbalimbali ya biashara ili kukuza uchumi wa wilaya kupitia sekta…
#HABARI: Mbunge mstaafu wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Cecilia Pareso amewataka Wakazi wa mkoa wa Manyara kuogopa matapeli wa kis…
#HABARI: Mbunge mstaafu wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Cecilia Pareso amewataka Wakazi wa mkoa wa Manyara kuogopa matapeli wa kisiasa wanaopotosha juu ya uwepo wa Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba…
#HABARI: Benki ya NMB Kanda ya Kusini, imefanikiwa kutoa elimu ya fedha kwa wakulima elfu tano, lengo likiwa kuwapa mikopo yenye…
#HABARI: Benki ya NMB Kanda ya Kusini, imefanikiwa kutoa elimu ya fedha kwa wakulima elfu tano, lengo likiwa kuwapa mikopo yenye riba nafuu ili waweze kununua mashine za kubangua korosho…
Kocha wa JKT Tanzania aja na mkakati mzito
KOCHA Mkuu wa Maafande wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amesema mojawapo wa mikakati mikubwa anayoifanyia kazi kipindi hiki cha kupisha kalenda ya Fifa ni kuhakikisha Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo…
NLD yaahidi Serikali ya umoja wa kitaifa
Mgombea urais kupitia Chama cha NLD, Hassan Doyo ameahidi iwapo atapata ridhaa ya wananchi ya...
Gamondi aiteka paredi Singida, Mwigulu akipiga msumari wa taji Ligi Kuu
MAMIA ya mashabiki wa Singida Black Stars wamejitokeza leo Oktoba 4, 2025 katika mapokezi ya kikosi hicho ambacho kimerejea mkoani humo baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya Kagame.
Pantev aahidi soka safi, Simba yazungumzia ishu yake ya leseni
MENEJA Mkuu wa Simba raia wa Bulgaria, Dimitar Pantev, amewasili kwa ajili ya kukiongoza kikosi hicho huku akiahidi kutengeneza timu ya ushindani, itakayocheza soka safi na la kuvutia.
Mkutano wa 12 wa Afya Tanzania (Tanzania Health Summit) uliowakutanisha wadau mbalimbali wa Sekta ya Afya umehitimishwa Septemba…
Mkutano wa 12 wa Afya Tanzania (Tanzania Health Summit) uliowakutanisha wadau mbalimbali wa Sekta ya Afya umehitimishwa Septemba 2, 2025 Jijini Dar es salaam huku ikisisitizwa juu ya umuhimu wa…
DCEA yateketeza tani nne za dawa za kulevya zilizohifadhiwa kama vielelezo
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza zaidi ya tani nne za...
Samia ahitimisha kampeni Kanda ya Kaskazini akiahidi kukuza uchumi Manyara
Samia Suluhu Hassan, mgombea urais kwa tiketi ya CCM, amehitimisha kampeni kanda ya Kaskazini...
#HABARI: Mbunge Mteule wa Viti Maalum watu wenye Ulemavu Ummy Nderiananga amemtaja Dkt
#HABARI: Mbunge Mteule wa Viti Maalum watu wenye Ulemavu Ummy Nderiananga amemtaja Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi kama kipenzi…
#HABARI: Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Usongwe, katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, mkoani Mbeya, wameiomba Serikali kubore…
#HABARI: Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Usongwe, katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, mkoani Mbeya, wameiomba Serikali kuboresha miundombinu ya shule hususani kujengewa mabweni katika shule hiyo ili kupunguza msongamano,…
Moto mwingine wazuka Kariakoo, stoo ya pafyumu yaungua
Stoo ya kuhifadhia manukato (pafyumu) iliyoko katika ghorofa ya barabara za Msimbazi na...
Israel yaendeleza mashambulizi Gaza licha ya wito wa Trump
Israel imesema kuwa wanajeshi wake bado wanaendesha operesheni katika Ukanda wa Gaza na imewaonya wakaazi wasirudi, licha ya miito kutoka kwa familia za mateka na Donald Trump ya kusitisha mapigano…
Wanawake DRC wameamka, hawasubiri kualikwa mezani- Bi. Keita
Wakati ghasia na hali ya kutoeleweka zinaendelea kuitesa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini humo Bintou Keita amesisitiza…
Mkunga ajizalisha Gaza, asema “sikuwa na budi kujifungua mwenyewe.”
Hali ya kutisha na ukosefu wa huduma muhimu za afya sasa vimefurutu ada katika Ukanda wa Gaza, eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israeli, huku wahudumu wa afya wakijikuta katika…
#HABARI: Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) tayari wamejitokeza kwa wingi wakiendelea na shamrashamra za kumsubiri na kumpok…
#HABARI: Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) tayari wamejitokeza kwa wingi wakiendelea na shamrashamra za kumsubiri na kumpokea mgombea wa Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya Chama hicho Dkt Hussein…
Wivu, unapokuwa na kiasi, unaweza kuwa kichocheo cha mafanikio…kukutia msukumo wa kufanya zaidi, kuboresha maisha yako na kufani…
Wivu, unapokuwa na kiasi, unaweza kuwa kichocheo cha mafanikio…kukutia msukumo wa kufanya zaidi, kuboresha maisha yako na kufanikisha ndoto zako. Watu wachache wanaotumia wivu kwa namna chanya huweza kuona mafanikio…
Madai mapya ya G7; Kwa nini Wamagharibi wanaendeleza sera zao za undumakuwili mkabala wa Iran?
Katika kuendelea sera za undumakuwili za kundi la G-7 mkabala wa Iran; kundi hilo limedai kuwa linataka kuendeleza diplomasia mkabala wa kadhia ya nyuklia ya Iran.
Viongozi wa dunia wakaribisha jibu chanya la Hamas kwa pendekezo la amani Gaza
Viongozi wa kimataifa wamekaribisha hatua ya awali ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, ya kukubali kushiriki katika mazungumzo ya amani yaliyosubiriwa kwa muda mrefu, yakilenga kumaliza vita…
Waandamanaji wa Afrika Kusini wataka Israel iwaachilie wanaharakati wa msafara wa Gaza
Waandamanaji waliokusanyika nje ya ubalozi wa utawala wa Israel nchini Afrika Kusini siku ya Ijumaa wametoa wito wa kuachiliwa kwa wanaharakati raia wa Afrika Kusini na wengine wote waliotekwa nyara…
Familia za mateka wa Israel zataka kusitishwa kwa vita
Familia za mateka wa Israel wanaoshikiliwa Gaza, wamesema leo Jumamosi kuwa ni muhimu kukomesha vita vya Gaza mara moja, huku jeshi la Israel likishambulia eneo hilo.
Halmashauri ya Wilaya ya Gairo kwa kushirikiana na Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) imeanza mkakati wa kukuza sekta ya utalii kwa…
Halmashauri ya Wilaya ya Gairo kwa kushirikiana na Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) imeanza mkakati wa kukuza sekta ya utalii kwa kufanya maboresho katika vivutio vya utalii vinavyopatikana katika wilaya…
Misri yaituhumu Ethiopia kwa usimamizi mbovu wa Bwawa la GERD ambao umesabisha mafuruko
Serikali ya Misri imeituhumu Ethiopia kuwa imefanya 'uzembe na haina uwajibikaji” katika usimamizi wa mafuriko ya Mto Nile kupitia uendeshaji wa upande mmoja wa bwawa lake kubwa, ikisema hatua hizo…
Ukraine yaripoti mashambulizi mapya ya droni za Urusi
Jeshi la Urusi limefanya mfululizo wa mashambulizi ya droni ya usiku kucha dhidi ya Ukraine. Haya yamesemwa leo na mamlaka ya nchi hiyo.