Washukiwa wa shambulizi la kigaidi nchini Uingereza wahojiwa
Polisi nchini Uingereza leo Jumamosi imewahoji watu sita waliokamatwa kwa tuhuma za makosa ya ugaidi baada ya shambulio dhidi ya sinagogi moja huko kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.
Skauti wa Simba ajiweka pembeni, afichua ishu nzito
Kuondoka kwa Daalder kumetokea wiki chache tangu aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo Fadlu Davids kuikacha Simba na kujiunga na Raja Casablanca ya Morocco.
WADA yasitisha kwa muda vikwazo dhidi ya Kenya
Shirika la Kupambana na Matumizi ya Dawa za Kusisimua Misuli Duniani (WADA) limesema kwamba Kenya imepiga hatua kubwa katika kusafisha mifumo yake, na likachelewesha vikwazo dhidi ya taifa hilo.
Mwingine Simba ajiuzulu, afichua kilichomuondoa
Kuondoka kwa Daalder kumetokea wiki chache tangu aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo Fadlu Davids...
Wadau wa elimu nchini wamehimizwa kuwekeza katika kuongeza motisha ya kujifunza kwa watoto sambamba na kukuza hali ya ufundishaj…
Wadau wa elimu nchini wamehimizwa kuwekeza katika kuongeza motisha ya kujifunza kwa watoto sambamba na kukuza hali ya ufundishaji kwa waalimu, ili kuongeza ubora wa elimu na kufanikisha malengo yaliyoainishwa…
Ujumbe wa madaktari bingwa, wataalamu na watoa huduma za afya 52 umeondoka nchini kuelekea visiwa vya Anjouan, Comoro kwa lengo …
Ujumbe wa madaktari bingwa, wataalamu na watoa huduma za afya 52 umeondoka nchini kuelekea visiwa vya Anjouan, Comoro kwa lengo la kutoa matibabu ya magonjwa mbalimbali huku pia wakikuza dhana…
Radiamali ya watumiaji X kwa mpango wa Marekani wa kusitisha vita huko Gaza: hatuamini, Trump si mwaminifu
Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa X wamesisitiza haja ya kuwa macho dhidi ya mpango wa Rais wa Marekani wa kusitisha vita huko Gaza.
Ahukumiwa kifo kwa kuchapisha maneno ya kumkashifu Rais mitandaoni
Mawakili wa Chouchane wamesema mtuhumiwa huyo ni mfanyakazi kibarua mwenye elimu ndogo...
#HABARI: Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), mkoani Pwani, wapo katika hatua za kusitisha mikataba ya makandarasi…
#HABARI: Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), mkoani Pwani, wapo katika hatua za kusitisha mikataba ya makandarasi wawili wa kampuni ya Haricom International Ltd na Trinity Manufacturing Services…
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza jumla ya kilogramu 4,402.02 za dawa za kulevya katika ki…
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza jumla ya kilogramu 4,402.02 za dawa za kulevya katika kiwanda cha saruji cha Twiga, kilichopo Wazo, jijini Dar es…
EPL ngumu kumeza leo, Chelsea na Liverpool presha juu
Timu hizo zimewahi kukutana mara 66 katika Ligi Kuu England ambapo Chelsea imepata ushindi mara...
Alichoahidi Mavunde siku 100 za ubunge
Jimbo la Mtumba lenye kata 20 na mitaa 101, lilizaliwa kutoka Jimbo la Dodoma, ambalo awali...
#HABARI: Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama Cha Mapinduzi, Balozi Dkt
#HABARI: Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama Cha Mapinduzi, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, akiwa wilayani Liwale, mkoani Lindi, kwenye kampeni za kunadi sera za…
Ndani ya Boksi: Mafanikio siyo ndinga na mjengo
Niliingia nikipishana na warembo wengi kuliko viti na chupa za bia. Ni eneo ambalo mwenye ndoa...
CEO KMC ang’oka, mrithi wake aanza kusakwa
MABOSI wa KMC wako katika mchakato wa kutafuta ofisa mtendaji mkuu mpya (CEO), baada ya Daniel Mwakasungula, aliyekuwa anashikilia nafasi hiyo kumaliza mkataba, huku kukiwa hakuna mazungumzo mapya ya kuongeza…
Tafiti zimebaini kuwa ukosefu wa miti ya kutosha katika mashamba unasababisha upotevu mkubwa wa maji, jambo linaloweza kuchochea…
Tafiti zimebaini kuwa ukosefu wa miti ya kutosha katika mashamba unasababisha upotevu mkubwa wa maji, jambo linaloweza kuchochea ongezeko la magonjwa yanayohusiana na joto, ikiwemo magonjwa ya figo. Akizungumza katika…
Anko Kitime: Tumetoka mbali sana
Hadithi nyingi za wanamuziki wakongwe au vikundi vya muziki vya zamani vilivyo maarufu huwa...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma linawashikilia watu 15 kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya watu watano yaliyotokea wilayani Tundu…
Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma linawashikilia watu 15 kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya watu watano yaliyotokea wilayani Tunduru. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma,…
Manowari ya kifaransa yenye uwezo maalum wa kujihami dhidi ya mashambulizi ya anga imeanza mazoezi maalum yanayojulikana kama “W…
Manowari ya kifaransa yenye uwezo maalum wa kujihami dhidi ya mashambulizi ya anga imeanza mazoezi maalum yanayojulikana kama “Wildfire 2025” katika Bahari ya Mediterania. Kwa muda wa siku tano, wanamaji…
Nyimbo za Toni Braxton sasa ni filamu
Mwanamuziki nguli wa R&B, Toni Braxton, 57, anatarajiwa kuonekana katika filamu mpya...
Nandy anavyofuata nyayo za Billnass
Mwanamuziki maarufu wa Bongofleva, Nandy hivi karibuni ameachia wimbo wake mpya, Sweety (2025)...
#HABARI: Viongozi Wakuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Ndg
#HABARI: Viongozi Wakuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Ndg. John Heche, wameburuzwa mahakamani baada ya kukiuka amri ya Mahakama KUU iliyoweka…
Umoja wa Mataifa wakaribisha taarifa ya Hamas kuhusu usitishaji vita Gaza
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekaribisha kwa mikono miwili taarifa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas inayoonyesha utayarifu wake wa kuwaachilia mateka na kukubali kwa masharti…
Ghalibaf: Hizbullah ipo hai na inaendelea na harakati zake
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad Bagher Ghalibaf amesisitiza kuwa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon ingali "hai na inafanya kazi zake kama kawaida",…
🔴MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM, DKT
🔴MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM, DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIWA KATIKA KAMPENI BABATI
#HABARI: Wadau na washiriki mbalimbali wameiomba Serikali kuendelea kutoa mchango, katika sekta ya afya ikiwa ni pamoja na kuim…
#HABARI: Wadau na washiriki mbalimbali wameiomba Serikali kuendelea kutoa mchango, katika sekta ya afya ikiwa ni pamoja na kuimarisha mifumo, pamoja na mawazo mapya katika sekta hiyo, ili kuendelea kuboresha…
Wanigeria waandamana kulaani shambulio la Israel dhidi ya msafara wa Sumud
Waislamu kote nchini Nigeria waliingia barabarani baada ya Swala ya Ijumaa hapo jana kulaani shambulio la Israel dhidi ya msafara wa kimataifa wa Sumud, wenye makumi ya meli zinazoelekea katika…
Mafuriko yaua 19 Sudan Kusini, malaki waachwa bila makazi
Mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua kubwa nchini Sudan Kusini yamesababisha vifo vya watu 19 na kuathiri wengine karibu 640,000 katika kaunti 26 katika majimbo sita ya nchi hiyo, hayo yamesemwa…
RC Mara: Bodaboda wote kupatiwa mafunzo ya udereva Veta
Amebainisha kuwa bodaboda wana mchango mkubwa katika uchumi wa jamii na taifa kwa ujumla, hivyo...
Iran yawanyonga magaidi wenye mfungamano na Israel
Magaidi sita wanaohusishwa na utawala wa Kizayuni wa Israel wamenyongwa nchini Iran mapema leo Jumamosi.
#HABARI:Aliyekua Mbunge wa Viti maalum Cecilia Paresso ameshangazwa na baadhi ya wanasiasa waliosusia uchaguzi, ambao ni huru na…
#HABARI:Aliyekua Mbunge wa Viti maalum Cecilia Paresso ameshangazwa na baadhi ya wanasiasa waliosusia uchaguzi, ambao ni huru na wa haki, licha ya vyama 18 kushiriki uchaguzi, ambapo amewataka wananchi wilayani…
Mgombea ubunge wa Chaumma aahidi kutoa asilimia 10 ya mshahara wake kuwasaidia wananchi
Mgombea ubunge wa Mbagala kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Khadija Mwago...
#SwaliLaKipimaJoto:Tabia ya kusubiri majanga ndipo hatua zichukuliwe
#SwaliLaKipimaJoto:Tabia ya kusubiri majanga ndipo hatua zichukuliwe. Je, inasaidia ujenga jamii inayowajibika
🔴MAGAZETI
🔴MAGAZETI:SAMIA AKOSHWA NA ARUSHA YA KIJANI / KOCHA MPYA SIMBA MBELE KWA MBELE
Israel yatoa amri ya kusitisha uvamizi Ghaza baada ya HAMAS kukubali kwa masharti mpango wa kusimamisha vita
Chombo komoja cha habari cha utawala wa Kizayuni kimedai kuwa jeshi la Israel limeamuru kupunguzwa operesheni za kijeshi huko Ghaza baada ya Hamas kukubali kwa masharti mpango wa nukta 20…
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI …OKTOBA 04, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI ...OKTOBA 04, 2025
Umoja wa Mataifa wataka hatua za haraka zichukuliwe kuzuia ukatili El-Fasher Sudan
Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka ili kuzuia mauaji makubwa ya kikabila yanayoendelea kutekelezwa kwenye mji wa El-Fasher, magharibi mwa Sudan.
Makabiliano makali yazuka kati ya waandamanaji na polisi katika maandamano ya Gen Z nchini Morocco
Maandamano yanaendelea nchini Morocco, kushinikiza mageuzi kuhusu namna huduma zinavyotolewa kwa wananchi, lakini pia kumaliza visa vya ufisadi.
Ripoti: Zaidi ya watu 16,000 waliuawa katika ghasia tangu mwaka 2022 nchini Haiti
Zaidi ya watu 16,000 wameuawa tangu mwaka 2022 huko Haiti, kisiwa kilichokumbwa na ghasia za magenge, Umoja wa Mataifa umesema katika ripoti yake. Aidha Umoja wa Mataifa umeonya ukisema kwamba…
Ripoti: Zaidi ya watu 16,000 waliuawa katika ghasia tangu mwaka 2022 duniani
Zaidi ya watu 16,000 wameuawa tangu mwaka 2022 huko Haiti, kisiwa kilichokumbwa na ghasia za magenge, Umoja wa Mataifa umesema katika ripoti yake. Aidha Umoja wa Mataifa umeonya ukisema kwamba…
Mbinu ya ulaghai ya Trump; Je, shambulio dhidi ya Qatar litachukuliwa kuwa tishio la usalama dhidi ya Marekani?
Trump ametoa amri ya kiutendaji akidai kuwa shambulio lolote katika ardhi ya Qatar litahesabiwa kuwa tishio la usalama kwa Marekani.
Jumamosi, 04 Oktoba, 2025
Leo ni Jumamosi 11 Mfunguuo Saba Rabiu Thani 1447 Hijria mwafaka na 4 Oktoba 2025 Miladia.
Matangazo ya Jioni 04.10.2025
Viongozi mbali mbali wapongeza mpango wa Trump wa amani kwa Gaza++++Rais mpya wa Malawi Peter Mutharika aapa kukabiliana na ufisadi++++Maelfu ya waomba hifadhi waliokatiliwa Ujerumani wanadaiwa kujificha+++Tunisia yamhukumu kifo mwanamume…
Matangazo ya Mchana 04.10.2025
Familia za mateka wa Israel wanaoshikiliwa Gaza zataka kusitishwa kwa vita++++ Iran yatekeleza hukumu ya kifo dhidi ya wafungwa sita kwa kushirikiana na Israel++++WADA yaipa Kenya afueni ya vikwazo vya…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 4, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Diddy ahukumiwa miezi 50 jela
Mwanamuziki wa Hip-hop na mfanyabiashara maarufu kutoka Marekani Sean “Diddy” Combs...
Hamas yakubali baadhi ya vipengele vya mpango wa Trump
Hamas imesema imekubali baadhi ya vipengele vya mpango wa amani wa Rais Donald Trump kumaliza vita Gaza, ikiwemo kuachia madaraka na kuachia mateka, lakini vipengele vingine vinahitaji mashauriano zaidi ya…
Traoré miaka mitatu madarakani, hofu yazidi Burkina Faso
Miaka mitatu tangu Kapteni Ibrahim Traoré achukue madaraka, Burkina Faso inakabiliwa na ukandamizaji, hofu na propaganda mitandaoni. Aliahidi kurejesha usalama, lakini wanajihadi wanaendelea kudhibiti maeneo makubwa.
“Serikali imehakikisha pato la Mwananchi linainuka” Dr Siriel Mchembe – Mchumi na Mhadhiri IFM
"Serikali imehakikisha pato la Mwananchi linainuka" Dr Siriel Mchembe - Mchumi na Mhadhiri IFM Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KISHIRIKI MCHEZO SUPA: - 📱Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa,…
“Kwa mara ya kwanza tumeshuhudia sio tu Tanzania kujitosheleza kwa kilimo, bali sasa tuna akiba ya chakula kwa miezi minne, maan…
"Kwa mara ya kwanza tumeshuhudia sio tu Tanzania kujitosheleza kwa kilimo, bali sasa tuna akiba ya chakula kwa miezi minne, maana yake ni kwamba kama Watanzania hatutavuna tuna uwezo wa…