DIRA.BZ3 Septemba 2025

Waandamanaji wamemiminika kwenye mitaa ya Israel+++Wakati viongozi wa Ulaya wakitarajiwa kukutana hapo kesho mjini Paris kujadili hakikisho la usalama kwa Ukraine+++Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, polisi waliopewa mafunzo na waasi wa AFC/M23 wamerejea katika mji wa Bukavu.

https://p.dw.com/p/4zx13

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *