Tizama makombora ya Israel yalivyoyaporomosha majengo kadhaa ndani ya Ukanda wa Gaza. Jeshi la nchi hiyo linasema majengo hayo yalikuwa yakitumiwa na kundi la Hamas kupanga njama dhidi ya Israel. Post navigation Baerbock aanza kazi kama Rais wa Baraza la Umoja wa Mataifa Vijana Nepal waandamana kupinga kufungwa mitandao ya kijamii