[ad_1]
Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran atahudhuria kikao cha dharura cha nchi za Kiislamu na Kiarabu kitakachofanyika mjini Doha siku ya Jumapili na Jumatatu kwa wito wa serikali ya Qatar, ili kuwaunga mkono Wapalestina wa Ghaza na kuchukua hatua dhidi ya shambulio la hivi karibuni lililofanywa na utawala wa kizayuni wa Israel katika mji mkuu wa Qatar, Doha.
[ad_2]
BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
Rais wa Iran kuhudhuria kikao cha nchi za Kiislamu na Kiarabu cha Doha kujadili uchokozi wa Israel