[ad_1]
Jeshi la Israel limefyatua risasi dhidi ya kundi la Wapalestina waliokuwa wakitafuta msaada wa kibinadamu huko Gaza, na kuwaua angalau watu wanne, huku hospitali katika eneo hilo lilozingirwa zikiripoti vifo zaidi vinavyotokana na njaa na utapiamlo.
[ad_2]
BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
Jeshi la Israel laua Wapalestina wanne waliokuwa wakitafuta msaada Gaza, njaa yashadidi