Jepchirchir kutoka Kenya ameshinda mbio za marathon Japan+++++Droni za wanamgambo zimeshambulia maeneo muhimu ya kijeshi Sudan+++Rubio ziarani Israel kujadili shambulio lililofanya Qatar dhidi ya Hamas++++Wakimbizi wa kike wa Afghanistan wako hatarini chini ya utawala wa Taliban++++Waziri Mkuu mpya Nepal atoa wito kwa vijana kuwa watulivu na kushirikiana kuijenga upya nchi yao.